Katika harakati zangu za harusi nimepata idea ya App

Katika harakati zangu za harusi nimepata idea ya App

herman3

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2015
Posts
556
Reaction score
736
Ni katika wakati ambao nilikuwa nawaza ni kwa namna gani nitaweza kukusanya michango ya ahadi kutoka kwa marafiki zangu walio mbali au nje ya nchi kwa njia rahisi kwa shughuli hiyo na ndipo nikapata wazo la kutengeneza web App ambayo itakuwa ikifanya management ya weeding and kitchen party events na tafrija za aina nyingine ambapo moja ya task zake itakuwa ni kuandaa budget, kutuma reminder kwa team/wanakamati na wachangiaji wengine, lakini pia kukusanya michango direct kutoka kwa kamati na wadau wengine.

Sasa nimeamua kutumia event yangu kama demo, then nikimaliza harusi nitakuwa nimepata some of useful experience ambayo itaniwezesha kuboresha zaidi project hii zaidi.

Pia kwa yeyote ambaye amewahi kupitia katika mchakato wa jinsi hii na akawa kwenye situation ambayo aliona inahitajika system ku_support ku_handle baadhi ya mambo nitapenda kupata uzoefu wake hapa.
 
Ni katika wakati ambao nilikuwa nawaza ni kwa namna gani nitaweza kukusanya michango ya ahadi kutoka kwa marafiki zangu walio mbali au nje ya nchi kwa njia rahisi kwa shughuli hiyo na ndipo nikapata wazo la kutengeneza web App ambayo itakuwa ikifanya management ya weeding and kitchen party events na tafrija za aina nyingine ambapo moja ya task zake itakuwa ni kuandaa budget, kutuma reminder kwa team/wanakamati na wachangiaji wengine, lakini pia kukusanya michango direct kutoka kwa kamati na wadau wengine.

Sasa nimeamua kutumia event yangu kama demo, then nikimaliza harusi nitakuwa nimepata some of useful experience ambayo itaniwezesha kuboresha zaidi project hii zaidi.

Pia kwa yeyote ambaye amewahi kupitia katika mchakato wa jinsi hii na akawa kwenye situation ambayo aliona inahitajika system ku_support ku_handle baadhi ya mambo nitapenda kupata uzoefu wake hapa.
Kwanza hongera kwa kuwa resourceful. In fact kwenye maswala ya programming ideas zipo mingi mnoo pia kwenye AI kuna an infinite aideas sema AI bado sana kwa huku bongo.
Nilipokuwa nafanya Mpesa u ubungo way back 2018 nilipata idea ya kutengeneza app inayonuwezesha mtu kujua akiwa na kiasi fulan kwenye akaunti yake akitaka kutoa makato ni sh ngapi, atatoa sh ngapi kwa kujaza tu kiwango anachotaka kutoa basi kwa kuwa mi nilikuwa dropout pale CIVE UDOM 2016, nikaamua kumpasia jamaa angu ambaye alishahitimu computer science hiyo tender. Jamaa akakubali, akasuka app nadhan baad ya 2 weeks akanitumia mzigo tukafanya marekebisho kidogo kitu ikawa mwake, nikawatumia hiyo app baadh ya wateja wangu ikawa safi sana. By the way mzigo bado upo Google drive.
 
Kwanza hongera kwa kuwa resourceful. In fact kwenye maswala ya programming ideas zipo mingi mnoo pia kwenye AI kuna an infinite aideas sema AI bado sana kwa huku bongo.
Nilipokuwa nafanya Mpesa u ubungo way back 2018 nilipata idea ya kutengeneza app inayonuwezesha mtu kujua akiwa na kiasi fulan kwenye akaunti yake akitaka kutoa makato ni sh ngapi, atatoa sh ngapi kwa kujaza tu kiwango anachotaka kutoa basi kwa kuwa mi nilikuwa dropout pale CIVE UDOM 2016, nikaamua kumpasia jamaa angu ambaye alishahitimu computer science hiyo tender. Jamaa akakubali, akasuka app nadhan baad ya 2 weeks akanitumia mzigo tukafanya marekebisho kidogo kitu ikawa mwake, nikawatumia hiyo app baadh ya wateja wangu ikawa safi sana. By the way mzigo bado upo Google drive.
Safi sana.
 
Kuna mwanangu alikua na app kama hiyo sijui iliishia wapi.

Cha msingi ni kuandaa sherehe unayoimudu mwenyewe sio kutegemea michango.
 
Back
Top Bottom