Katika hili MO anatuingizia Siasa kwenye Simba SC yetu. Tusiogope kumdhibiti

Katika hili MO anatuingizia Siasa kwenye Simba SC yetu. Tusiogope kumdhibiti

Kama ulikuwa hufahamu basi tambua kuwa issue ya mabadiliko sio ya kukurupuka bali kuna process nyingi inabidi zifanyike ndo mzigo uwekwe.....sio kingwambalungwambalu tu
 
Unahoji hizo Bill 20 Anza kwanza kutuambià wewe umeichangia Sh ngapi Simba.

Sisi mashabiki wa Simba na Wanachama tumeridhika na uendeshaji wa timu ulivyo hivi sasa Maendeleo ya timu yanaonekana na ndio furaha yetu sisi Mashabiki.

wewe utakuwa ni shabiki tu, ila tutakao umia ni sisi wanachama tunaopoteza pesa zetu za mchango wa kadi za uanachama.
 
Unazungumziaje suala la kusubiri mchakato ukamilike ikiwa ni miaka mitatu sasa tangu MO awepo pale.

Kila mwaka yeye anatoa ruzuku ya Bilioni 3. Je Tutazidai vipi hizo bilioni 20, baada ya miaka 7?
Kama umemsikiliza kwa makini hizo bilioni tatu anazitoa kwa mapenzi yake na simba kama mshabiki mwenye uwezo wa kufanya hivyo na ni nje kabisa ya 20 billions.....tafuta maana ya neno ruzuku itakusaidia sana
 
wewe utakuwa ni shabiki tu, ila tutakao umia ni sisi wanachama tunaopoteza pesa zetu za mchango wa kadi za uanachama.
Km kweli ww ni mwanachama na mkutano mkuu wa mwisho kila kitu kilizungumzwa, pamoja na report ya mapato na matumizi ya club ilitolewa, sasa hizo hela za uanachma unazipoteza vp wakati kila kitu kipo wazi
 
Wewe piga kelele mwenzio ana hela na anaisaidia timu, nakushauri nenda kalipe wachezaji mishahara, toa pesa ya usajili halafu ndio uanzishe hizo kelele zako la sivyo hakusikilizi mtu kama utakuwa na mikelele bila hela.
Yaani hadi Miaka hii bado kuna watu mnaakili ya kuendelea kutegemea mtu, badala ya kujenga taasisi imala, ili hata kesho akiwa hayupo timu iweze kujiendesha, ndio maana kuna makampuni yana miaka 50,toka wamiliki wake wafariki, lakini hadi leo shughuri zinaendelea kama kawaida, sasa haya ya kumtegemea mtu, ndio maana kuna kipindi alipo tweet, watu kama nyie mlipagawa, kwani mlijua kabisa mnarudi kule kule mlikotoka!!! Club kongwe,baada ya miaka zaidi ya 80,ndio kwanza wamejenga uwanja, huyo mwingine bado, leo Gwambina ana uwanja wake,!!! Acheni fikra hizo badirikeni
 
Yaani hadi Miaka hii bado kuna watu mnaakili ya kuendelea kutegemea mtu, badala ya kujenga taasisi imala, ili hata kesho akiwa hayupo timu iweze kujiendesha, ndio maana kuna makampuni yana miaka 50,toka wamiliki wake wafariki, lakini hadi leo shughuri zinaendelea kama kawaida, sasa haya ya kumtegemea mtu, ndio maana kuna kipindi alipo tweet, watu kama nyie mlipagawa, kwani mlijua kabisa mnarudi kule kule mlikotoka!!! Club kongwe,baada ya miaka zaidi ya 80,ndio kwanza wamejenga uwanja, huyo mwingine bado, leo Gwambina ana uwanja wake,!!! Acheni fikra hizo badirikeni
Nenda wewe kagombee uongozi ili uweke mawazo mbadala unayotutolea huku, mo juzi kasema kuna malengo ya muda mfupi, ya kati na ya muda mrefu, unazani kwenye malengo yote hayo watakuwa wanategemea mtu? Ukweli utabaki palepale ili usikilizwe kwasasa weka fungu sio mineno miiiiingi huna kitu
 
Tumepata kuisikia press ya Boss wetu Mohamed Dewji leo akiongea na vyombo vya Habari. Kilichonishtusha zaidi ni kuhusu ile Bilioni 20 aliyotuahidi wanachama kuitoa mara apatapo nafasi ya kusimikwa kama sehemu ya umiliki wa Klabu yetu. Mpaka sasa Mo ajaitoa hiyo pesa yote, huku akitoa majibu mepesi mepesi kuwa pesa hatoitoa yote kwa sasa na badala yake atatoa bilioni 3 kila msimu.

Kilichonishangaza zaidi ni kumsikia akilalamika kuwa kuna watu ndani ya Simba wana chokochoko. Yaani wanachama tunaanzaje kuwa na chokochoko kwa kuhoji masuala ya msingi?

Mategemeo yetu mpaka sasa tuwe tumeanza kujenga academy ya Simba, cha kushangaza kwenye press akawa anazungumzia habari ya kutufita vipaji mikoani. Sasa hivyo vipaji vitaenda kucheza wapi? Mchangani?

Ni muda sasa umefika viongozi wa klabu yangu tuweke kikao ili tujitafakari na kujadiri kwa kina malengo yetu kama klabu. Huu sio muda wa wanasiasa kufanya siasa zao klabu ili hali wanachama wanataka kuona maendeleo ya kweli.

Ninaamini mimi ni mmoja wa wachache niliyepata ujasiri wa kujitokeza na kuzungumza siuala hili.
Shida mnaopiga kelele sio wenye timu,
MO ana 49% hajatoa ka mnavyolalamika, Je, nyie wenye 51% mmeingiza kiasi gani kwenye account ya Simba.
Nyie mashabiki wa Utopolo acheni kuropoka ka manyani, mbona hamuwahoji viongozi wenu waweke mikataba wazi walioingia na gsm? Badala yake mnahoji mambo yasiowahusu.
 
Teh teh teh 😃😃😃 angalau wameamua kusajili, huenda wakaleta ushindani.
Wale wa kuokota okota wanatofauti gani na kina Moringa na Yipe 😂😂😂😂😂

Mmoja amemaliza msimu hana goli wala assist 😂😂😂, huyu aliyeshuka leo alifukuzwa timu yake tangia March kwa kudai mshahara wakati uwanjani hana impact 😂😂😂😂

Aisee yule Mhabesh utapeli upo damuni, ndo yuleyule aliwadanganya Tshishimbi kasign na eti atawaleta Madrid wacheza nao 😂😂😂
 
Achana na Mo kabisa.unazungumzia b20 wakati wewe ata hela ya kula huna.
 
Acha unyumbu alichowajibu ni kuwa muingie Forbes mjitazamie wenyewe networth yake alafu mfanye comparison na hiyo hela ya mishikaki

After all sio kwamba atatoa 3b kila mwaka Ila ni kwamba ni hela anayoitoa kwa sasa

Poleni utopolo fc
 
Unahoji hizo Bill 20 Anza kwanza kutuambià wewe umeichangia Sh ngapi Simba.

Sisi mashabiki wa Simba na Wanachama tumeridhika na uendeshaji wa timu ulivyo hivi sasa Maendeleo ya timu yanaonekana na ndio furaha yetu sisi Mashabiki.

wewe utakuwa ni shabiki tu, ila tutakao umia ni sisi wanachama tunaopoteza pesa zetu za mchango wa kadi za uanachama.
 
Umeandika upuuzi mtupu..mlikuwa wapi kipindi Simba inakosa mishahara ya wachezaji..?!!

Mo anatupiga pigo la kisayansi mkuu.
inabidi wanachama na viongozi tuamke.

Pesa ambayo alitakiwa aiingize klabuni kwa ajili ya uwekezaji kwenye miundo mbinu yeye ameenda iweka kwenye bond coupon mbayo faiya ya hiyo bond kwa mwaka ni bilion 3. ambayo mwisho wa siku anaitoa kwa klabu kama ruzuku.

In reality hakuna anachofanya zaidi ya kulipa mishahara na kununua wachezaji.
 
Mo anatupiga pigo la kisayansi mkuu.
inabidi wanachama na viongozi tuamke.

Pesa ambayo alitakiwa aiingize klabuni kwa ajili ya uwekezaji kwenye miundo mbinu yeye ameenda iweka kwenye bond coupon mbayo faiya ya hiyo bond kwa mwaka ni bilion 3. ambayo mwisho wa siku anaitoa kwa klabu kama ruzuku.

In reality hakuna anachofanya zaidi ya kulipa mishahara na kununua wachezaji.
Acha shobo tuache.
 
Mo anatupiga pigo la kisayansi mkuu.
inabidi wanachama na viongozi tuamke.

Pesa ambayo alitakiwa aiingize klabuni kwa ajili ya uwekezaji kwenye miundo mbinu yeye ameenda iweka kwenye bond coupon mbayo faiya ya hiyo bond kwa mwaka ni bilion 3. ambayo mwisho wa siku anaitoa kwa klabu kama ruzuku.

In reality hakuna anachofanya zaidi ya kulipa mishahara na kununua wachezaji.
Ambacho simba wenye pamoja na wewe bi hindu mlishindwa
 
Unazungumziaje suala la kusubiri mchakato ukamilike ikiwa ni miaka mitatu sasa tangu MO awepo pale.

Kila mwaka yeye anatoa ruzuku ya Bilioni 3. Je Tutazidai vipi hizo bilioni 20, baada ya miaka 7?
wewe umetoa ngapi pumbaaaaav
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Unazungumziaje suala la kusubiri mchakato ukamilike ikiwa ni miaka mitatu sasa tangu MO awepo pale.

Kila mwaka yeye anatoa ruzuku ya Bilioni 3. Je Tutazidai vipi hizo bilioni 20, baada ya miaka 7?
Wewe una Akili wenzio ni mbumbumbu. Utapata tabu sana!!
 
Back
Top Bottom