goswe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 4,432
- 5,036
Kwaio ufunuo wa kwanza kwenye safari ya mkristo ni kujua Yesu ni nani.
Kilichotokea msalaban ni nini.
Anapoamini hilo mengine ndo yanafuat.
MADHEHEBU wanajua aya ila wanaogopa kuyasema kwa sababu ni kinyume na mafundisho yao ya utatu.
Hakuna kitu kinaitwa utatu kwenye biblia ni upinga kristo kumgawa mungu na kumfanya awe ni watu watatu tofauti.
Wengi wanajiita wakristo na hawamjui huyo krsto mwenyewe alikuwa ni nani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichotokea msalaban ni nini.
Anapoamini hilo mengine ndo yanafuat.
MADHEHEBU wanajua aya ila wanaogopa kuyasema kwa sababu ni kinyume na mafundisho yao ya utatu.
Hakuna kitu kinaitwa utatu kwenye biblia ni upinga kristo kumgawa mungu na kumfanya awe ni watu watatu tofauti.
Wengi wanajiita wakristo na hawamjui huyo krsto mwenyewe alikuwa ni nani.
Sent using Jamii Forums mobile app