Katika Kikosi Kijacho cha Simba SC nisipokuwa nawaona hawa Wanaanza na hawa Wanasubiri naacha Kuishabikia rasmi

Kikosi cha kuanza Kesho

1. Manula
2. Wawa
3. Shabalala
4. Kennedi
5.Unyango
6. Kanutte
7.Sakho
8.Duncan
9.Kibu Dennis
10.Kagere
11.Mhilu
Kama Kibu hayupo aanze Mugalu.
(nadhani amejirekebisha)
 
NYIE ndiyo mnafanya hata timu inakosa matokeo kwa ujuaji wenu.Presha zisizo na maana. Kujifanya nanyi ni benchi la ufundi.
 
Simba ina wachezaji sita wanaoweza kucheza DM iumie na kutokuwepo kwa Aucho tu ?

Hebu fuatilia timu alizowahi kuzichezea Aucho ukiondoa Uganda national teams zimepata mafanikio gani?
 
Acha uongo mkuu Simba ilikosa ubingwa kwa misimu mitano mfululizo lakini uwanjani tulikuwa tunaenda.

Yanga ulikuwa unaona idadi ndogo ya mashabiki misimu miwili iliyopita ?

Kuna shabiki gani wa Simba kahama timu kwa sababu ya matokeo mabovu ya timu ?
 
Msimu uliopita Marefa walikuwa hawaamui kumtoa ?

Ubora wa Yanga vs Simba unaupimaje ?
 
Simba ya wapi yenye shida ya kiungo cha ukabaji?
Unafuatilia mpira lakini mkuu?
 
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ YUSUPH MHILU

๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ผBanda - ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ Sakho - ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Kibu

๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Kanoute - ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ Lwanga -

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Zimbwe Jr- ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Kenedy ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉInonga-๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟIsrael

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Manula

Formation: 4-2-3-1

Kikosi kinapaswa kuwa hivyo ๐Ÿ‘† basi hatutojutia Trust me! Hiyo ndiyo FIRST ELEVEN yetu kwa sasa lakini Kocha anashindwa kujiamini.​
 

Hiyo aya ya mwisho ndiyo umemaliza kila kitu,kuna shida kubwa sana kwa mleta mada,ni vile tu hapa hatuonani lakini kupitia uandishi wake unaona iko shida kubwa kwa serikali ya kichwa chake.
 
Simba ina wachezaji sita wanaoweza kucheza DM iumie na kutokuwepo kwa Aucho tu ?

Hebu fuatilia timu alizowahi kuzichezea Aucho ukiondoa Uganda national teams zimepata mafanikio gani?
Makolo muli bwanji Babaa
 
Nilikuwa nakuona wa maana sana kumbe nae ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ