simba inajenga timu now ili kuweza kuwa bora zaid kama enzi za kina chama. Hii transition period ina try and error nyingi.
Kama ww ni shabiki maandazi hama timu au acha ushabiki huku ukisubiria timu irudi kwenye makali yake.
Afu simba mashabiki wengi wetu hatuna mioyo migumu kama YANGA. Embu imagine mtu anakosa vikombe mara nne mfululizo lakn hahami timu, na bado wanajaza uwanja na kwene mechi watu wanaenda mbali na matokeo mabaya.
Sisi huku timu kupoteza tumichezo tuwili na droo moja watu wanapaniki, mapresha kibaoooooo. Utafikri hatujawahi kufungwa, kudroo na Yanga na timu zingine wakati akina miksoni na Chama wapo. Acheni hizo tuvute subira wakuu. Mambo mazuri yanakuja.
Nb: Inabidi mashabiki wa ARSENAL watoe darasa kwa mashabiki wa timu yetu kwa kwli