Katika kosa kubwa ambalo Biden atalifanya ni kuhusu uamuzi wa kuiruhusu Ukraine kutumia silaha za masafa marefu

washirika walikua wanasubiri US afanye kuruhusu tu nao wafuate UK FRA GER soon nao wataruhusu matumizi ya storm shadow. LITHUNIA nayo imeruhusu.
View attachment 3155310
Unaweza ukadhani ni rahisi kiasi hicho,lkn ukweli ni kujiingiza kwenye shimo la kiboko.
Urusi anazo silaha za kufika Kila mji wa NATO atqkaotaka kufikisha,namaanisha kupiga.
 
Mbona urusi wao wanatumia silaha za aina hiyo? Ukraine kuzitumia ndio inaonekana nongwa?
 
Unaweza ukadhani ni rahisi kiasi hicho,lkn ukweli ni kujiingiza kwenye shimo la kiboko.
Urusi anazo silaha za kufika Kila mji wa NATO atqkaotaka kufikisha,namaanisha kupiga.
Huyu Urusi unae msema hapa kila mtu alikua anamwona ni dude kubwa kabla ya vita lakini baada ya gem kuanza had leo kashindwa kukomboa Oblast ya Kursk
 
Swala sio vita kuisha Issue ni vinaishaje???Wazungu sio wajinga waharibu maisha yao kisa wanataka kujionesha wana nguvu.
 
Subirini Muda umefika Kyev itakuwa majivu soon leteni mzaa! Pia ikumbukwe hii kitu haitatokea siku akithubutu huyo Zelensky supersonic zitashushwa hapo ukrine bila hata yakujali zinaangukia wapi! maana hapo hakutakuwepo na kitu kinaitwa Hak za binadamu!
 
Sasa vita inapokuwa stalemate, maafa kutokana na kufa kwa askari yanakuwa mengi na mwishowe Ukraine ataishiwa na askari kutokana na population yao kuwa ndogo. Ni ujinga kuisaidia Ukraine isishindwe vita na hapo hapo kutokuisaidia ishinde vita. Ni vyema kuamua moja tu ili kupunguza hasara.
 
Hakuna silaha ambayo Putin hajaitumia ndani ya Ukraine ukiondoka Nuclear, kwahiyo hautakuwa na jipya ni wakati wa raia wa Urusi kuonja joto ya Jiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…