Katika kosa kubwa ambalo Biden atalifanya ni kuhusu uamuzi wa kuiruhusu Ukraine kutumia silaha za masafa marefu

Na ndio anazidi kukipoteza chama chake
 
Kauli ya kijinga sana hii,hii ni kauli ya kukalili,sio kauli inayotoka kichwani mwa mtu mwenye afya ya akili.
Hivi na Mimi nikisema Ukraine inawajibika kuishi vizuri na jirani yake utaipokeaje kauli hii.
Ni "kariri" na siyo kalili. Hebu hariri hapo juu tuendelee kufikiri pamoja.
 
Dogo Acha ushabiki maandazi!

West wanampukuchua Putin mdogo mdogo mapaka ataisha!

Vita ni akili, Putin aliingia kichwa kichwa ila wenzake wanambonda kwa akili.

Kwanza itafika hatua uchumi wake utasinyaa kabisa na hapo ndipo wanapopataka West.

Vita ni hela sasa hivi Putin anawaza kila shilingi itabidi aitumbukize kwenye vita na hapo ndio mtego kwa Putin ulipo.
Huwezi kuona kwa sasa ila subiri miaka 5 au 6 ijayo uone mziki wake

West wasingejihangaisha kuitumbukiza Ukrain kwenye vita visivyo na maslahi kwao.

Usiwe mburura
 
Mbona Ukrain mwaka wa pili huu na bado wanahenyeka mpaka kuna sehem ya Urusi iko mikononi mwa Ukrain?

Umenikumbusha zile za Hezbollah siyo Hamas
 
Zana zipi Rusia hajatumia ukiacha nukes?

Mpaka anaomba makombora kwa Iran na Kiduku alafu unasema zana ambazo hajatumia?
 
Hapo ndio Ukraine 🇺🇦 ilipoingia Choo cha Kike.

Ni bora US amfididie Ukraine Mabomu yake ya Nyukilia.

Ila Biden Mungu anauona. Yaani anamdanganya mwenzake ampige jitu, wakati anajua hatakuwepo. Ukraine asipojiongeza, akampiga kweli. Anaenda kufa. Watampiga kipigo cha mbwa mwizi
 
Ila Biden Mungu anauona. Yaani anamdanganya mwenzake ampige jitu, wakati anajua hatakuwepo. Ukraine asipojiongeza, akampiga kweli. Anaenda kufa. Watampiga kipigo cha mbwa mwizi
Putin aache kuua raia,jana nilikuwa naangalia akipiga miundombinu ya kiraia.

Russia alisema atamchakaza Ukraine ndani ya wiki moja tu na hakuna silaha ambayo hajaitumia mpaka kufikia kukodisha Askari kutoka Korea Kaskazini.

Kwahiyo zitapigwa tu Ukraine imethibitisha ubabe wa Mrussi ulikua ni zamani sasa hivi sharubu zake zinashikwa tu nakusokotwa na kupigwa vibao😁
 
Anataka kuhakikisha kuwa mpaka anakabidhi madaraka amemwaribia trump kwa kiasi kikubwa kadri awezavyo.
Bado hujaona hapa mpaka anakabidgi madaraka anataka kuacha kateua hadi majaji..
Mahakama kuu tayari ina majaji wametosheleza...na kule huwezi kuwabadili labda mambo matatu
1.Jaji Afariki
2.Jaji astaafu
3.jaji afanye kosa litakalomuondolea sifa ya kuwa jaji...

Vinginevyo hakuna kitu anaweza kufanya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…