The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
kwahyo mnaanzisha vita, alafu mnachagua siraha tutakazo chukua kujibu mashambulizi sio.
Kweli dunia ina wenyewe
Kweli dunia ina wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua sababu za Russia kuvamia Ukraine? Au unadhani walivamia tu ili wapimane muscles.Ni jirani yake yupi aliyevuka mpaka wake na kumvamia kama yeye afanyavyo?
NATO Wanazo ndio hizo Ukraine karuhusiwa kutumia,Kwa hiyo Nato wenyewe hawana silaha za kufika kwenye miji ya Russia au unaongea kitu gani wewe.
Ni kwasababu ana nguvu yahani ni mbabe.Unajua sababu za Russia kuvamia Ukraine? Au unadhani walivamia tu ili wapimane muscles.
OK, then no more arguments kama upeo wako hapo ndiyo umefika kikomo.Ni kwasababu ana nguvu yahani ni mbabe.
Kauli ya kijinga sana hii,hii ni kauli ya kukalili,sio kauli inayotoka kichwani mwa mtu mwenye afya ya akili.Russia anawajibika kuishi vizuri na majirani zake.
......"kama huna nguvu usiwe kichaa".......OK, then no more arguments kama upeo wako hapo ndiyo umefika kikomo.
Na ndio anazidi kukipoteza chama chakeNa kadiri ya sheria za komataifa, taifa linapaswa kudhibiti jirani zake, hasa kufuatilitilia mienendo yake ya kijeshi.
Kabla ya US kutuma 'vijana' wao Kursk, Biden alisema hadharani kuwa ataona namna ya kupambana na uchumi wa Urusi.
Mpngo wa Kursk umebuma ndio amesaini huu, huku akijua anaondoka ikulu na chama kimepoteza ushawishi kabisa kwa raia.
Subirini Muda umefika Kyev itakuwa majivu soon leteni mzaa! Pia ikumbukwe hii kitu haitatokea siku akithubutu huyo Zelensky supersonic zitashushwa hapo ukrine bila hata yakujali zinaangukia wapi! maana hapo hakutakuwepo na kitu kinaitwa Hak za binadamu!
Ni "kariri" na siyo kalili. Hebu hariri hapo juu tuendelee kufikiri pamoja.Kauli ya kijinga sana hii,hii ni kauli ya kukalili,sio kauli inayotoka kichwani mwa mtu mwenye afya ya akili.
Hivi na Mimi nikisema Ukraine inawajibika kuishi vizuri na jirani yake utaipokeaje kauli hii.
Kesha sema: "Ni sawa na kuchochea petrol".We Zuena, hakuna kitu ambacho Putin hataki kitokee ni vita kati yake na NATO na ndiyo maana mpaka sasa hivi hajaongea lolote juu ya uamuzi wa US.
Ndio maana wanampukuchua Putin Pole poleSwala sio vita kuisha Issue ni vinaishaje???Wazungu sio wajinga waharibu maisha yao kisa wanataka kujionesha wana nguvu.
Dogo Acha ushabiki maandazi!Kwamba NATO wangekuwa wamesha mmaliza Russia sindio unavyotaka tuamini au !?
Acha ujinga ingekuwa ni rahisi hivyo unavyodhani kinacho wafanya NATO wasiivamie Russia nini mpaka Leo hii , mbona Kwa sadam husen na gadafi waliingia bila kusita umeshajiuliza sababu inayo wafanya wasiingie front kama alivyo fanya Korea kaskazini ni ipi ??
Wanaujua mziki wa Russia , Russia sio Syria mdogo wangu
Mbona Ukrain mwaka wa pili huu na bado wanahenyeka mpaka kuna sehem ya Urusi iko mikononi mwa Ukrain?Kama kawaida yako unapenda kuongea ushabiki na mihemko.
Ulaya nzima hadi Marekani hakuna anayeweza kuikabili Russia hakuna.
Kwa taarifa yako kuna askari kibao wamepenyezwa wa NATO ndani ya jeshi la Ukraine ili waisaidie Ukraine lakini still bado wanapigwa.
Hiyo NATO yenyewe imeundwa kukinzana na vitisho vya Russia.
Narudia tena Ulaya hakuna taifa la kusimama na Russia hata hao NATO hawana huo ubavu.
Zana zipi Rusia hajatumia ukiacha nukes?North Korea wamo ndani ya jimbo la Kursk ambalo limo ndani ya Russia. Huko mbele maeneo yananyakuliwa na wanajeshi wa Russia wenyewe.
Kama haufahamu viongozi wengi ndani ya Russia hawapendezwi na Putin jinsi anavyoiendesha hii anayoiita SMO dhidi ya Ukraine. Wengi wanataka waharibu kila kitu hapo Ukraine kama Israel anavyofanya Gaza.
Wametoa sababu zao kwa Putin kuwa kwa jinsi tunavyoenda na SMO ni ngumu kumaliza hili sakata. Inabidi tupige na tufanye jambo moja la kikatili litakalomfanya Ukraine asalimu mwenyewe amri kuliko wewe Putin unavyoilea.
Kuna kipindi Putin alienda kutembelea kambi moja ya jeshi nchini mwake moja ya maswali ambayo wanajeshi waliyokuwa wanamuuliza ni kipi kinamfanya asiruhusu jeshi la nchi lisitumie zana zote za jeshi walizonazo kama Ukraine na washirika wake wanavyopambana dhidi yao? Putin akatoa majibu anayoyajua mwenyewe ya kuonyesha uungwaana!
Ila yote juu ya yote wachambuzi wa masuala ya kivita wanasema ili Ukraine na west waache kuisumbua Russia pale Ukraine inambidi Russia ifanye maamuzi magumu ya nguvu yake ya kijeshi ili imlazimishe Ukraine asaini makubaliano mwenyewe ya amani. Mpaka sasa Russia katumia 18% za uwezo wake wa kijeshi.
Hatujui Russia atachukua maamuzi gani, wao wenyewe ndiyo wanajua ikiwa Ukraine ikianza kuitumia hiyo ruhusa waliyopatiwa.
Hapo ndio Ukraine 🇺🇦 ilipoingia Choo cha Kike.
Ni bora US amfididie Ukraine Mabomu yake ya Nyukilia.
Putin aache kuua raia,jana nilikuwa naangalia akipiga miundombinu ya kiraia.Ila Biden Mungu anauona. Yaani anamdanganya mwenzake ampige jitu, wakati anajua hatakuwepo. Ukraine asipojiongeza, akampiga kweli. Anaenda kufa. Watampiga kipigo cha mbwa mwizi
Mahakama kuu tayari ina majaji wametosheleza...na kule huwezi kuwabadili labda mambo matatuAnataka kuhakikisha kuwa mpaka anakabidhi madaraka amemwaribia trump kwa kiasi kikubwa kadri awezavyo.
Bado hujaona hapa mpaka anakabidgi madaraka anataka kuacha kateua hadi majaji..
MPUMBAVU SANA HUYUNikweli anaubabe wa kijinga