Katika kosa kubwa ambalo Biden atalifanya ni kuhusu uamuzi wa kuiruhusu Ukraine kutumia silaha za masafa marefu

Russia siyo ya kuilinganisha ni hizi nchi zenu Fikiria anapambana na nchi zote za NATO na bado anakiwasha Hivyo kuweni na umakini!Kwa kila jambo siyo ushabiki wa Smba na Yanga!
Bila kusahau kuwa russia anasaidiwa na iran, north korea, china....
 
Kwa hiyo ni Russia pekee anayeruhusiwa kutumia silaha atakazo?
 
Urusi ni dhaifu mno kwa Sasa kuliko kabla ya Vita.....hivyo hakutakuwa na athari za kutishia usalama wa Dunia.
 
Mahakama kuu tayari ina majaji wametosheleza...na kule huwezi kuwabadili labda mambo matatu
1.Jaji Afariki
2.Jaji astaafu
3.jaji afanye kosa litakalomuondolea sifa ya kuwa jaji...

Vinginevyo hakuna kitu anaweza kufanya...
Soma hii taarifa na trump anapinga biden kufanya hivi anataka senate wasiwapprove
 
Urusi mpaka sasa hajaishinda Ukraine, pamoja na kuwa NATO haijaingia vitani. Kanchi kadogo kamekomaa zaidi ya miaka 2 sasa. NATO ikiingia kwa umoja wake wote na nguvu zake zote, Urusi haimalizi wiki labda watumie nuclear.
 
Wanajiondoa ufahamu.
 
Mkuu ile nchi haiendeshwi na watu wasiojitambua.
 
Urusi mpaka sasa hajaishinda Ukraine, pamoja na kuwa NATO haijaingia vitani. Kanchi kadogo kamekomaa zaidi ya miaka 2 sasa. NATO ikiingia kwa umoja wake wote na nguvu zake zote, Urusi haimalizi wiki labda watumie nuclear.
USA alikaa miaka mingapi akipambana na Syria na licha ya kuwa na Hao wenzake wa NATO wakimsaidia

Russia alivyo kwenda Tu mpaka Leo imebaki history! Russia sio nchi ya michezo mchezo labda utumie ishabikia Tu ktk vitu vinavyo hitaji logic
 
Hayo mmeshayasema Sana tangu vita inaanza lakini ndio kwanza uchumi wa Russia unazidi kuchanua ,
 
Alivyofeli Kyiv angerudi tu Moscow kuachana na vita.
 
Mimi mwenyewe nimeliona Hilo pia wanajaribu kumuwekea mazingira magumu ili chama chake kishindwe ktk uchaguzi ujao
 
Vita haichagui silaha tuliza wenge yaani unapigana na Mtu Halafu unampangia cha kutumia !? Ulitaka Putin alivamiwa na NATO asitumie nyuklia sasa hizo nyuklia uwepo wake utakuwa na maana ipi !? Yaani nchi Moja ipigane na nchi zaidi ya 25s Halafu asitumie nyuklia

Uko Sawa kweli upstairs!?
 
Sawa mchafuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…