Katika kosa kubwa ambalo Biden atalifanya ni kuhusu uamuzi wa kuiruhusu Ukraine kutumia silaha za masafa marefu

Russia anaua magaidi ya kinazi tu haui raia halaf tupe na sisi tuone hapo walipo sema wataipiga Ukraine weeek tu
 
Nakuona mzungu wa buza
 
Russia pia ni makafili na wakristo Kama sisi,,,au unadhani ni wafuasi wa mudi Kama wewe?
 
Fair gani wakati Urusi inapigana na nchi zote za NATO na bado wamemshindwa?

Ngoja WW3 ianze ndio utajua tofauti ya wanaume wa Russia na mashoga ya west. Urussi moja inaweza kuwashinda wote hao NATO na upuuzi wao
Russia pia ni makafili na wakristo Kama sisi,,,au unadhani ni wafuasi wa mudi Kama wewe?
 
Russia pia ni makafili na wakristo Kama sisi,,,au unadhani ni wafuasi wa mudi Kama wewe?
 
Maalum kwa wanaojadiri mzozo wa Ukraine kirahisi na kimihemko kama Yanga na Tabora.
 

Attachments

  • 3a44bd5febdda5681c089257ae9089f0.mp4
    32 MB
Nazani umeelewa kuwa Putin hajatumja nuklia sababu NATO bado hawajaingia Ukraine
 
Putin na wakristo na makafili Sana tuu,,,au unadhani ni wafuasi wa mudi Kama wewe??
 
Ni kama vile anataka kumuachia msala trump ili apambane nao mpaka mwisho wa utawala wake
 
Nipe Tofauti ya kimantiki kati ya Tanganyika na Tanzania
Zile siraha za muungano wa Soviet. Ni sawa na kuwe siraha za nyuklia Zanzibar baadaye ishawishiwe zisafirishwe kuja bara eti kuhofia zinaweza kuangukia mikononi mwa kobaz wenye msimamo mkali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…