Katika kuunda Muungano kwa hali ilivyo sasa Karume alimpiga bao Nyerere

Katika kuunda Muungano kwa hali ilivyo sasa Karume alimpiga bao Nyerere

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Unajua kwamba waTanganyika ni wajinga mno.Tupo kwenye ndoa ambayo haina mlingano. Unampa tu lakini yeye hakupi.

1.Wana haki ya kugombea nafasi ya kugombea nafasi yeyote ilimradi aungwe mkono. Nenda Zanzibar uone kama utachaguliwa hata ujumbe Wa nyumba kumi.

2. Wanaajiriwa popote Tanzania. Ukienda kwao ajira SMZ ni kwa ajili yao tu.

3.Wanaruhusiwa kununua ardhi huku ila kule kwao ardhi ni yao tu

4.Wanagawiwa wasichochangia.

4.Wanaweza kutoa raisi Wa Watanganyika ila sisi hatuwezi. Ninaupenda muungano ila wore tupoteze sio upande mmoja tu ndo upoteze. Tanganyika hatuna identity lakini wao wanayo.

Hii ni hatari kwaistawi wa taifa. Miaka mia moja ijayo wajukuu wetu watatulaumu sana.

Kwa nini tuungane nusu?
 
Unajua kwamba waTanganyika ni wajinga mno.Tupo kwenye ndoa ambayo haina mlingano. Unampa tu lakini yeye hakupi.

1.Wana haki ya kugombea nafasi ya kugombea nafasi yeyote ilimradi aungwe mkono. Nenda Zanzibar uone kama utachaguliwa hata ujumbe Wa nyumba kumi.

4.Wanaweza kutoa raisi Wa Watanganyika ila sisi hatuwezi.
Tunaweza, maana hata raisi wa sasa wa Zanzibar ni Mtanganyika wa asili kwa baba ambae pia aliwahi kuwa raisi wa Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Raisi huyu wa sasa asili yake, asili ya baba yake na babu zake ni huko Mkuranga ambayo iko katika mkoa wa Pwani nchini Tanzania au naweza kuita Tanganyika ya zamani. Kwahiyo kwa sasa ngoma droo. Wao wametupa wao, na sisi tumewapa wetu.
 
Huu Muungano nasikia ulishinikizwa na Uingereza na Ulifuata model ya muungano wa Uingereza, (United Kingdom)

Sababu ya siasa kali za Kikomunisti zilizokuwa zinataka kuibuka Zanzibar baada ya Mapinduzi, zikiongozwa na Mohammed Babu
 
Kwa ujumla huu muungano hauna maana yoyote kwa maendeleo ya nchi yetu,na hapa mwasisi wetu alipigwa Chang's la macho.

Ni muungano wa kisiasa na kama muungano ukifa Leo nchi hizi zitaendelea Sana kiuchumi
 
Unajua kwamba waTanganyika ni wajinga mno.Tupo kwenye ndoa ambayo haina mlingano. Unampa tu lakini yeye hakupi.

1.Wana haki ya kugombea nafasi ya kugombea nafasi yeyote ilimradi aungwe mkono. Nenda Zanzibar uone kama utachaguliwa hata ujumbe Wa nyumba kumi.

2. Wanaajiriwa popote Tanzania. Ukienda kwao ajira SMZ ni kwa ajili yao tu.

3.Wanaruhusiwa kununua ardhi huku ila kule kwao ardhi ni yao tu

4.Wanagawiwa wasichochangia.

4.Wanaweza kutoa raisi Wa Watanganyika ila sisi hatuwezi. Ninaupenda muungano ila wore tupoteze sio upande mmoja tu ndo upoteze. Tanganyika hatuna identity lakini wao wanayo.

Hii ni hatari kwaistawi wa taifa. Miaka mia moja ijayo wajukuu wetu watatulaumu sana.

Kwa nini tuungane nusu?
Nakiri nyerere alipigwa kitu kizeeto..ndio mana hata kwenye kuchanganya mchanga karume hakutokea.

Kimsingi Serikali ya Tanganyika ndio imevalishwa koti la muungano..huku vizenji vikila shumbera.

Kupitia jina la JMT.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wale G55, walitaka tupeane talaka, babu wa msoma akawatawanya
 
Tunaweza, maana hata raisi wa sasa wa Zanzibar ni Mtanganyika wa asili kwa baba ambae pia aliwahi kuwa raisi wa Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Raisi huyu wa sasa asili yake, asili ya baba yake na babu zake ni huko Mkuranga ambayo iko katika mkoa wa Pwani nchini Tanzania au naweza kuita Tanganyika ya zamani. Kwahiyo kwa sasa ngoma droo. Wao wametupa wao, na sisi tumewapa wetu.
Acha kulazimishia ujinga kwenye kichwa chako. Mwinyi hakuwa mtanganyika, bali alipelekwa Unguja akakulia huko kuanzia utotoni mpaka alipojiunga na harakati za ukombozi za Zanzibar.
Alikuwa mhamiaji, na nchi ilipopata uhuru aliupata uraia kamili wa Zanzibar.

Tuache siasa za kukifariji. Wazanzibari wametukalia kichwani na kwa sasa wameamua kujamba juu ya vichwa vyetu kabisa.
 
Ishu hapa ni mpaka wa bahari. Ukiwaachia hao kuwa nchi unafahamu kwa sheria za kimataifa watakavyokuwa na eneo kubwa la bahari?

Unafahamu impact ya jambo hilo kiusalama kwa Tanganyika? Kibiashara je?

Wanapewa haki zaidi ili wasisumbue kudai nchi yao.
 
Hilli ni bunge la Tanganyika kwa kivuli cha muungano

Sasa hicho kivuli ndicho kinawafanya na wao washiriki, Hebu jitangazieni rasmi kama ni bunge la Tanganyika uone kama utakuta Mzanzibari mule, Matatizo ni yenu wenyewe halafu nyinyi ndio munalalamika.
 
Hivi kitabu cha African Socialism cha Abdrahaman Babu kiko wapi? Nisaidieni nikipate kizuri sana.
 
Unajua kwamba waTanganyika ni wajinga mno.Tupo kwenye ndoa ambayo haina mlingano. Unampa tu lakini yeye hakupi.

1.Wana haki ya kugombea nafasi ya kugombea nafasi yeyote ilimradi aungwe mkono. Nenda Zanzibar uone kama utachaguliwa hata ujumbe Wa nyumba kumi.

2. Wanaajiriwa popote Tanzania. Ukienda kwao ajira SMZ ni kwa ajili yao tu.

3.Wanaruhusiwa kununua ardhi huku ila kule kwao ardhi ni yao tu

4.Wanagawiwa wasichochangia.

4.Wanaweza kutoa raisi Wa Watanganyika ila sisi hatuwezi. Ninaupenda muungano ila wore tupoteze sio upande mmoja tu ndo upoteze. Tanganyika hatuna identity lakini wao wanayo.

Hii ni hatari kwaistawi wa taifa. Miaka mia moja ijayo wajukuu wetu watatulaumu sana.

Kwa nini tuungane nusu?
Ni kweli mkuu
 
Cha ajabu sasa kuna wazanzibari wanaona muungano huu haufai unawabana na kuwanyonya.
ilhali sisi watanganyika wala hatuna habari kama tunakosa usawa kwenye muungano na wala haturingi eti[emoji23][emoji28]
 
Acha kulazimishia ujinga kwenye kichwa chako. Mwinyi hakuwa mtanganyika, bali alipelekwa Unguja akakulia huko kuanzia utotoni mpaka alipojiunga na harakati za ukombozi za Zanzibar.
Alikuwa mhamiaji, na nchi ilipopata uhuru aliupata uraia kamili wa Zanzibar.

Tuache siasa za kukifariji. Wazanzibari wametukalia kichwani na kwa sasa wameamua kujamba juu ya vichwa vyetu kabisa.
Kichwa chako kimejaa kamasi eeh. Unaposema Mwinyi hakuwa Mtanganyika bali alipelekwa Zanzibar kusoma unamaanisha nini? Je alipelekwa Zanzibar kusoma akitokea Congo, Zambia au Zimbabwe? Au kabla ya kupelekwa Zanzibar kusoma alikuwa anaishi wapi na wazazi wake? Muda mungine kabla ya kujibu kitu inabidi utumie kwanza akili vizuri ili usije kuumbuka kama hivi.
 
Back
Top Bottom