raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Huyu mtoto Numbisa nitajitahidi nipite nae kimasikhara tuu kiongozi ๐Nimetisha nimetisha zama kwa mtoto jiopoleee.....siku ya kulifinya nije ๐๐๐๐๐
Kuna ule uzi wa kutembeza likes wewe na yeye mnashinda sana kule saa nyingine mnabaki nyie wawili tu mkuuNimekubali mzee baba hapo kwa mtoto Numbisa ๐
Genta na huyo patna wake ntachangia mchango wakiomba๐๐Asante kwa nyongeza
N akina nan hao niwatembezee mkongaJf mashangingi emu nipumzisheni pamoja na kuwa na id mpya bado mashangingi mbanifatilia ๐น๐น๐น
Nimechoka kugombana yani mnapishana, likitoka shangingi hili linaingia hili full tafrani ๐๐๐
Hivi hamna watu wengine wa kugombana nao?? ๐น๐น๐น
Vijana watulie hapa wajifunze watu wazima huwa tunafanyaje.Naona jirani unalinda kwa nguvu zote ๐น๐น๐น
Hutaki kupeperushiwa ndege wako
๐น๐น๐นN akina nan hao niwatembezee mkonga
Tatizo ushangingi umewajaa hawawezi kukuelewa ๐น๐น๐นVijana watulie hapa wajifunze watu wazima huwa tunafanyaje.
Una manjonjo weweHawarandani kwa chochote, huyo mrangi aliiga tu signature ya Mdakuzi Ova.
Haha, dada nimekumiss jamani. Umenisusa kweli siku hizi.Mashangazi kama sisi huwezi kuta tunarandishwa mdogo wangu....๐๐๐
Wala hata, nimeweka tu mambo sawa.Una manjonjo wewe
Au ndo uchizi wa mapenzi?
Ndiyo ๐คฃ ukinifikia tutaenda sawiaNikue mara ngapi?
Au kisa unanizidi base?
Salaaam
Ngojaโต tuwaweke kwa style zao. Sio lazima wawe wapenzi hata urafiki wa kawaida.
smart na mahondow
Pdidy na unique flower๐คฃ
Heriel na donatila
Chaliiifrancisco na ephen
Mshana na faiza ๐
Mrangi na niffer
Bichwa na cocaaa๐คฃ
Mshamba achekwi & Depal
raraa reee na Numbisa
Deep pond na Kapeace
List ni ndefu nakuja kumalizia.....au nyie endeleeni....
HahahahahaSasa hiyo tutajua mbele kwa mbele
Visingizio tuNdiyo ๐คฃ ukinifikia tutaenda sawia
Nimecheka sana raraa reree na NumbisaSalaaam
Ngojaโต tuwaweke kwa style zao. Sio lazima wawe wapenzi hata urafiki wa kawaida.
smart na mahondow
Pdidy na unique flower๐คฃ
Heriel na donatila
Chaliiifrancisco na ephen
Mshana na faiza ๐
Mrangi na niffer
Bichwa na cocaaa๐คฃ
Mshamba achekwi & Depal
raraa reee na Numbisa
Deep pond na Kapeace
List ni ndefu nakuja kumalizia.....au nyie endeleeni....