Katika mahusiano na urafiki hata hapa JF kuna list ya watu wanarandana

Katika mahusiano na urafiki hata hapa JF kuna list ya watu wanarandana

Huu ujumbe ni wa min -me


Kuna mdada nlikuwa close kwenye masuala flan ya kikazi karibia miezi mitatu lkn hatukupeana no za simu, siku tumepeana no jioni akantumia "usiku mwema" mi nikajibu "๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™"
ephen_ kila siku ananisahisha ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Mtu akireply emoj najiongeza kua hataki kuongea na mimi
Kwahiyo ulivyotumiwa Salamu ukareply ๐Ÿ™ ulihisi huyo dada anakutaka au
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ yan mimi nisitake kuongea na wewe kabisa ๐Ÿ™„ nitakua nakaribia kufa labda.
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ yan mimi nisitake kuongea na wewe kabisa ๐Ÿ™„ nitakua nakaribia kufa labda.
Uongo huko๐Ÿ˜ฃ
Ndio maana ukireply viemoj hua nakunyamazia, we ujashtukia?
 
Back
Top Bottom