Sijampata badoHumjui πππππ beautiful lady from vvb world wide
Aliyenipikia ndizi mshale leoSijampata bado
bora umesanuka aseee,,somo ni gumu balaaUnipige kamba
Maono & sheriabora umesanuka aseee,,somo ni gumu balaa
Mxiuuu ππ kumbe unaskiliza,,,, usisahau na kumsoma DanielMaono & sheria
Sina Mda wa kusomaMxiuuu ππ kumbe unaskiliza,,,, usisahau na kumsoma Daniel
We mfumo wako umekaaje
πππ yan mimi nisitake kuongea na wewe kabisa π nitakua nakaribia kufa labda.Mtu akireply emoj najiongeza kua hataki kuongea na mimi
Kwahiyo ulivyotumiwa Salamu ukareply π ulihisi huyo dada anakutaka au
AmenSina Mda wa kusoma
Sina mfumo
Uongo hukoπ£πππ yan mimi nisitake kuongea na wewe kabisa π nitakua nakaribia kufa labda.
πTeam Amani na upendo kama wale ma Monk wa kichina. π€Έ
Hahaha nimeshtukia sana tu hata ukinuna najuaππUongo hukoπ£
Ndio maana ukireply viemoj hua nakunyamazia, we ujashtukia?
πsijawahi kununahata ukinuna najuaππ
Ila wewe mtata sana, kwenye amani ππππππTeam Amani na upendo kama wale ma Monk wa kichina. π€Έ
Ila unasusaπsijawahi kununa
πWapi huko umeona, itakua wamehack I'd yanguπ₯π₯ nireport kwa Viranja sa hi hiiiππIla wewe mtata sana, kwenye amani πππππ
Kidogo sio sanaIla unasusa