Katika mahusiano unapokuwa na uhusiano na watu wenye majina haya Chunga Sana/Kaa Chonjo

Katika mahusiano unapokuwa na uhusiano na watu wenye majina haya Chunga Sana/Kaa Chonjo

Joyce?.tafadhali mtoa post kina joyce wamepewa dhamana kubwa serikalini kusimamia sekta muhimu kama elimu nk..leo hii unatuambia wanafanya fanya hovyo na kuzalia sebuleni na barazani?
 
14 hajawahi kuniangusha two years now we make life moving [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Do a little thing with the great love ~ Mother Theresa
Bado pochi imeshiba,,,,,! Endelea kuwa chonjo,,,,,!

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Na hawa pia wana vituko full mzuka:
1. Mwanangulu
2. Mwajuma
3. Mwantumu
4. Sikudhani
5. Sikujuwa
6. Tukae
7. Siya
8. Jacqueline, Jacky (ni waongo na wambea sana)
9. Lillian
0. Elizabeth
1. Semeni
2. Eva, Evelyne
3. Tulia, Tuli, Tully
4. Pili
5. Tatu
6. Tunu
7. Sijali
8. Nitendeje
9. Nioneni
#13 hajawahi kuwaacha ukawa salama, naunga mkono hoja
 
Bila kuwasahau Noela, Lilian, jasmine hawa hata kama kaolewa hutongoza hata waume za watu mwite popote atakuja kwa kuzitembeza papuchi hawajambo

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Mungu kaniepusha nao..!

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Hilo "Fausta" kama lina ukweli vile wanaomba hela hao acha kabisa na ni gusa unate!
Nafikiri si wote lakini niliopita kama watatu hiv walikuwa na vitabia vya kufanana,
Ila ni wasafi wa mwili mpk naniiiiiiiii.

Faru John mwenyewe alinasa kwa faru Fausta
 
Kwa utafiti wangu kuna majina ambayo kwa kweli ni ya wanawake ambao hawana utulivu kwa asilimia kubwa sana. Mpaka huwa najiuliza haya majina yanakuwa yamebeba roho flani pamoja nayo? Ni utafiti ambao nimeufanya kwa miaka isiyopungua 20 kwangu na kwa marafiki zangu. Ukiwa na mwanamke ambaye anaitwa.
1. Fatuma
2. Irene
3. Jackline
4. Aisha
5. Hadija
6. Mwanakombo
7. Sauda
8. Helen
9. Fausta
10.Asha
11. Mwanaisha
12. Asia
13. Chausiku
14. Rahma
15. Joyce


Asilimia kubwa ya wanawake wenye majina hii katika 10- 8 hawana utulivu kabisa na hao wawili ni utulivu wa kunyapia nyapia. Huu ni utafiti ambao nmekuwa nikiufanya kwanza mimi binafsi kipindi nlipokuwa na mahusiano na watu wenye majina hayo wengi nlikuwa nawakuta wana wanaume na wengine mpaka leo wana wanaume au wameolewa ila wanataka tuwe na mahusiano.au wanagegedwa nje ya ndoa/mahusiano.

Pili nasikiliza sana kwa jamaa ambao wamekuwa hurt.wakitaja majina mara nyingi yanaangukia humu. Huwa inasikitisha sana. Inakuaje na kuna nini nyuma ya majina haya? Nini sababu?

Jamaa wengi wameumizwa na wanawake wenye haya majina na pia unaweza kuta nawe una mdate mwenye hilo jina kumbe ana mtu au watu wake. Wanawake hawa mara nyingi ni weak sana kwa wanaume.

Asilimia 80 ya wenye majina hata huzalia home. Yaani huzaa kabla hawajaolewa. Ni sababu hupenda kugegedwa toka wakiwa na umri mdogo sana. Na hukomaa haraka sana katika mapenzi.

Si waaminifu na wanakuwa ni nymphoniac sana. Akikataa mbananishe sehem msomeshe atakupa hata kwa kupitiwa then baadaye atajifanya kujuta.ila ndo ushamla.

Ni aina ya wanawake wanapenda mambo mambo mengi sana kiasi kwamba yaani kwa namna yoyote yupo tayar kuachia miguu. Ila pia hata wakiwa na kitu hawajielew wanataka nini.

Weng wao wap emotional sana. Akiwa na tatizo we onesha kuwa yu care yu are there for her...atajisahau unamnanii...ndo basi tena. So wanaume tuangalie sana tunapodate na wenye majina haya. Anaweza akawepo mmoja mtulivu ila unapaswa kufanya sana maombi maana huwa hawaeleweki.
Ahsante kwakutuleta list ya idadi na majina ya madem zako
 
Bora mie sipo

Sent from my HUAWEI GRA-UL00 using JamiiForums mobile app
 
Duu Irene sitamsahau

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mbona majina ya kike kwenye huu uzi yanaweza yakatajwa yote, maana hii ni page 2 ila wanawake majina yanaelekea mwisho!!?

Any way, hapa watoto wa kike Wadogo na watakao zaliwa tuanze kuwapa majina ya matunda, miti, mawe n.k.n.k ili majina mapya hayo yawe mapya kwenye jamii na kuepusha kulinganishwa na majanga ili wasiwepo kwenye hii list of shame.
 
Ilo jina namba tano ndio komesha,,,,ila asilimia 90% huwa wenye bahati na kipato kizuri na akili, ,,, na wazuri wa sura,,,,,ila wana mdomo balaa,,,kujua kwingi, ,, nimetembea na wenye majina hayo utadhani wamezaliwa tumbo moja
 
Yani hiyo Namba Tano haijawahi kuniacha salama kabisa..
sijui nimelishwa limbwata, maana nimewapata zaidi ya watatu wenye jina hilo lakini nimeishiwa kupewa maumivu tuu mpaka Leo.
Wacha tuu niwe single najiona sina bahati kabisa.

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
2. Irene

Weng wao wap emotional sana. Akiwa na tatizo we onesha kuwa yu care yu are there for her...atajisahau unamnanii...ndo basi tena. So wanaume tuangalie sana tunapodate na wenye majina haya. Anaweza akawepo mmoja mtulivu ila unapaswa kufanya sana maombi maana huwa hawaeleweki.

Hiyo namba 2 nakubalina naoyo; kuna colleague wangu moja hapa ana hilo jina; alisha niambia anapenda sana kugegedwa.

Umechemsha tu hapo kwenye red . hiyo ni sifa ya wanawake wote, haina cha Fatuma wala Asia.
 
Kikubwa hapo ni kwamba hayo majina ndo majina common zaidi kwa wadada ndo maana research yako imewadondokea. Kwa kifupi ni majina yasiyochagua kabila na ni kawaida kuyapata kotekote tofauti na majina ya kikabila kama Nkwabi (wasukuma), Koku (Wahaya), Nteghenjwa, Naghenjwa (Wapare), Manka (Wachagga), Bhoke (The Great Kurya)

Sent from my SM-J710H using JamiiForums mobile app
 
FACT! Ila hakuna lisiloshindikana Kwake alie juu Jesus Christ

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom