Mdoe Snr
Senior Member
- Mar 5, 2014
- 115
- 30
#KUACHA
Kwenye maisha inafika hatua ni lazima #UACHE.Ni lazima uache yale Mambo yote ambayo kwa kiasi kikubwa yanakuzuia kufika kwenye #Mafanikio yako.
Mara nyingi Mambo ya kuacha ni yale ambayo yanatupa burudani na ya kupendeza.Yanaweza kuwa ni starehe zetu ambazo tumezifanya kwa miaka mingi na kugeuka kuwa sehemu ya maisha yetu. Yaweza kuwa ni tabia zetu ambazo kwazo tumepata sifa mbele za marafiki lakini hazina Utukufu mbele za Mungu.
Kitu cha kuelewa ni kwamba, Kuna maumivu makali na gharama kubwa katika kuziacha kwasababu kwa muda mrefu zimekua sehemu muhimu ya Maisha yetu. Moja Kati ya gharama hizo ni kupoteza Marafiki na kadhalika.
Kwahiyo ndg yangu Kama unadhani lipo Jambo au tabia yoyote ambayo unaifanya kwa mazoea lkn inakuzuia #kuendeleambele katika maisha yako, basi ni vema #Ukaiacha.
#PAMOJA na maumivu makali utakayo yapata katika #KUACHA jambo na tabia uliyoizoea, lakini ndio dawa hiyo . #ACHAA.
Kwenye maisha inafika hatua ni lazima #UACHE.Ni lazima uache yale Mambo yote ambayo kwa kiasi kikubwa yanakuzuia kufika kwenye #Mafanikio yako.
Mara nyingi Mambo ya kuacha ni yale ambayo yanatupa burudani na ya kupendeza.Yanaweza kuwa ni starehe zetu ambazo tumezifanya kwa miaka mingi na kugeuka kuwa sehemu ya maisha yetu. Yaweza kuwa ni tabia zetu ambazo kwazo tumepata sifa mbele za marafiki lakini hazina Utukufu mbele za Mungu.
Kitu cha kuelewa ni kwamba, Kuna maumivu makali na gharama kubwa katika kuziacha kwasababu kwa muda mrefu zimekua sehemu muhimu ya Maisha yetu. Moja Kati ya gharama hizo ni kupoteza Marafiki na kadhalika.
Kwahiyo ndg yangu Kama unadhani lipo Jambo au tabia yoyote ambayo unaifanya kwa mazoea lkn inakuzuia #kuendeleambele katika maisha yako, basi ni vema #Ukaiacha.
#PAMOJA na maumivu makali utakayo yapata katika #KUACHA jambo na tabia uliyoizoea, lakini ndio dawa hiyo . #ACHAA.