Katika maisha lilia bahati, Ona vijana wadogo wanavyoongoza makampuni makubwa!

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,636
Reaction score
2,728
Mkurugenzi mpya wa kampuni ya Voda akitambulishwa.
Yani chalii ni yanki kabisa. Hata aliyemtangulia ni kijana mbichi tu. Dah, wakati wengine na madigree yao wakiendelea kupata mshahara wenye digit tano na kutumwa tumwa huku na kule, hawa vijana wadogo wanazungumzia mahesabu ya mabilioni ya pesa ya kampuni wanazoziongoza. Cjui hawa watu walimpa nini Mungu!



https://www.linkedin.com/pub/ian-ferrao/1/830/65b
 

Attachments

  • voda.jpg
    47.6 KB · Views: 1,640
angalia tu usikufuru... naskia dresscode za wadada wa hq zimebadilika, ceo mwenyewe hajaoa!!! watu hawataki kupitwa na fulsa
 
Ila makanjibai nawakubali sana kwenye kazi. Halafu hata wazungu wanawakubali sana wahindi. Hata CEO wa Microsoft ni muhindi miaka kama 47 hivi kuongoza Microsoft si mchezo
 
Watanzania katika mfumo wa Elimu tuko nyuma sana hata Cirriculum yetu huwezi kulinganisha na wenzetu kabisa sie tutaishia kula ela za bia na nyama lakin sio kuwa maneger wa kampuni kubwa kama hizo
 
angalia tu usikufuru... naskia dresscode za wadada wa hq zimebadilika, ceo mwenyewe hajaoa!!! watu hawataki kupitwa na fulsa

Acha uongo wewe, hiyo pete aliyovaa ni ya nini?
Hata hivyo binafsi siwapendi wahindi, labda waarabu.
 
angalia tu usikufuru... naskia dresscode za wadada wa hq zimebadilika, ceo mwenyewe hajaoa!!! watu hawataki kupitwa na fulsa

Hahahaha uzuri hao jamaa ni marachache sana kuvutika na ngozi nyeusi ko kama hao maduu wa hq ni ngoz nyeusi bado kazi wanayo
 
Tunachofikiria sisi ni msuguano na heshima bar ,hatuwezi kuwafikia hao jamaa
 
Kwahiyo hawa kachori ndio wana bahati,mi nlidhani wabongo wenzetu!!

Embu turejee kwenye umiliki wa kampuni yenyewe kwanza,hawana hisa kubwa hawa watu???kama wanazo hisa ulitegemea nini mkuu???
 
Acha uongo wewe, hiyo pete aliyovaa ni ya nini?
Hata hivyo binafsi siwapendi wahindi, labda waarabu.

Huyo mwenye pete ni Rene Meza, ndiye mkurugenzi anayeondoka. Sasa yeye anamzungumzia huyo dogo ndiye mkurugenzi mpya.
 
Ajajajajaaaaa! Jamaa dogo sana kwakweli.

Only 3yrs old!
But ameoa na ana watoto wawili!
Na mke wake ni mzambia!
The he used to leave in chang'ombe! Babu yake amekaa sana Tz maeneo hayo! ! so anaijua Tz some how! !!!!
 
Rene Meza anaondoka si kwa matakwa yake katia hasara kubwa mnooooo so ni pressure kubwa anayotiwa ndio inayomsababisha kukabith na watanzania ndio walioipiga pesa ndefu Vodacom Rene Meza hawez wasahau technicians wa kibongo ni hatari kuliko wengi wahisivo:mod:
 
Peleka watoto wako shule mapema na uwaandalie system ya kupitia ata wewe ukifariki wao waikute system. Kumbuka sio wote lazima wawe wakurugenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…