Katika maisha ya utafutaji, kufanya shughuli ambayo sio ndoto yako ni mateso

Katika maisha ya utafutaji, kufanya shughuli ambayo sio ndoto yako ni mateso

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Aisee kwa ufupi sikuwai kuwaza nitakuja kuangukia kazi hii ambayo japo kua napata riziki lakini kwa namna fulani nafsi haina ile furaha ya kweli.

Najua wapo watu humu wanafanya shuguli za kujiijgizia kipato lakini haikua ndoto yao. Kwa mfano mimi napenda sana niwe na ofisi yangu binafsi, niwatume wafanyakazi nk. lakini saiv japokua nimesoma lakini nakomaa na ujenzi ambao sio ndoto yangu.

Hivi nini kinasababisha wanadam tuangukie katika kazi ambazo sio ndoto zetu.? Nini kifanyike watu turudi katika ndoto zetu?
 
Kila mtu huwa tunakuwa na ndoto ya kuwa bosi. Lakini baadae mambo hubadilika kutokana na mifumo ya elimu, malezi na sisi wenyewe.

Ukitambua tayari umeingia huko ni kuona namna gani unatoka ikiwa kazi hiyo haikuvutii.
 
Hiyo ni kweli kabisa aisee ila ni Maisha tu aisee mfano mi najutaga nilichokisomea Zaid ya miaka mitatu chuo afu nilikua sikupendi ata kidogo yaani ila mashinikizo tu kutoka Kwa wazazi sahivi nafanya kazi nyingine tofauti kabisa yaani najutaga yaani nilipoteza mda na pesa sana yaani
 
Hiyo ni kweli kabisa aisee ila ni Maisha tu aisee mfano mi najutaga nilichokisomea Zaid ya miaka mitatu chuo afu nilikua sikupendi ata kidogo yaani ila mashinikizo tu kutoka Kwa wazazi sahivi nafanya kazi nyingine tofauti kabisa yaani najutaga yaani nilipoteza mda na pesa sana yaani
Pole mkuu.
 
Hiyo ni kweli kabisa aisee ila ni Maisha tu aisee mfano mi najutaga nilichokisomea Zaid ya miaka mitatu chuo afu nilikua sikupendi ata kidogo yaani ila mashinikizo tu kutoka Kwa wazazi sahivi nafanya kazi nyingine tofauti kabisa yaani najutaga yaani nilipoteza mda na pesa sana yaani
Bado tunasafari ndefu sana katika utafutaji
 
Kila mtu huwa tunakuwa na ndoto ya kuwa bosi. Lakini baadae mambo hubadilika kutokana na mifumo ya elimu, malezi na sisi wenyewe.

Ukitambua tayari umeingia huko ni kuona namna gani unatoka ikiwa kazi hiyo haikuvutii.
Usisahau la nature ya Geographical location
 
Umaskini,umaskini, umaskini,umaskini ,umaskini ,nimeandika mara tano kwa sababu umaskini si wa pesa tu peke yake.
Mkuu usisahau na mifumo ya siasa huku afrika mambo ya nepotism yanaharibu sana maisha yetu vijana
 
Back
Top Bottom