Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
SidhaniUsiishi kwa ndoto ishi kwa uhalisia. Mfano Mimi ndoto yangu ilikua niwe footballer Kama Messi, kwa hiyo nilitakiwa hadi Leo niishi na hiyo ndoto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SidhaniUsiishi kwa ndoto ishi kwa uhalisia. Mfano Mimi ndoto yangu ilikua niwe footballer Kama Messi, kwa hiyo nilitakiwa hadi Leo niishi na hiyo ndoto?
Ashafeli huyu mkuuSidhani
Mtafute P Didy ana majibu ya maswali yako yote.Aisee kwa ufupi sikuwai kuwaza nitakuja kuangukia kazi hii ambayo japo kua napata riziki lakini kwa namna fulani nafsi haina ile furaha ya kweli.
Najua wapo watu humu wanafanya shuguli za kujiijgizia kipato lakini haikua ndoto yao. Kwa mfano mimi napenda sana niwe na ofisi yangu binafsi, niwatume wafanyakazi nk. lakini saiv japokua nimesoma lakini nakomaa na ujenzi ambao sio ndoto yangu.
Hivi nini kinasababisha wanadam tuangukie katika kazi ambazo sio ndoto zetu.? Nini kifanyike watu turudi katika ndoto zetu?
Ata mie sikuoenda kuwa bodaboda sema ndio hivyo tena life nyokkoo.80% wengi tunafanya kazi ambazo hatuzipendi
Labda kufeli Kuna maana nyingineHadi hapo umefeli mkuu pole sana ndo maisha, lakini nikuambie kuishi maisha ya ndoto zako ni raha sana
wengi miili yetu location tanzania ila ndoto na mawazo yapo far awayAta mie sikuoenda kuwa bodaboda sema ndio hivyo tena life nyokkoo.
Nilikuwa najiona kabisa nipo zangu sweden napokea nobel prize katika physics baada ya kuja na theory moja matata kuhusu uthinitisho usiokuwa na shaka kuhusu uwepo wa mungu
Hatari...ndio hiyo unaambiwa lilia bahati mzeya.wengi miili yetu location tanzania ila ndoto na mawazo yapo far away
Ni kweli kabisa mkuuMkuu usisahau na mifumo ya siasa huku afrika mambo ya nepotism yanaharibu sana maisha yetu vijana