Katika maisha yangu haya ya ujana, sijakutana na mwanamke bikira kimwili

Katika maisha yangu haya ya ujana, sijakutana na mwanamke bikira kimwili

Kama unatafuta wasichana bikra nenda Mkoa wa Mara. Huko msichana Akifika kwenye litungu usiku hukaguliwa na bibi yake hivyo mabikra wengi tu. TAHADHARI, huko usiende kwa lengo la Kuona na kuharibu Nitarudi salama.
 
Kama unatafuta wasichana bikra nenda Mkoa wa Mara. Huko msichana Akifika kwenye litungu usiku hukaguliwa na bibi yake hivyo mabikra wengi tu. TAHADHARI, huko usiende kwa lengo la Kuona na kuharibu Nitarudi salama.
mara eneo gani?
 
Haya ni mawazo mgando sana.

Nchi hii ni masikini sana lakini kwa mawazo
haya lazima iwe masikini zaidi ya hapa.

Kuna thread humu jamvini kuna Dada analalama
kuwa alifanyiwa unyama na Baba yake Mkubwa
ndiyo usichana wake ukatoka.


Jaribu kulinganisja hao rafiki zako waliofanikiwa
kuwatoa bikra wasichana wana maendeleo gani?
Vp nawe usiyewahi kutoka bikra ni masikini mno

Uwe makini na unachowaza! Laa utafungwa.
 
Kama unatafuta wasichana bikra nenda Mkoa wa Mara. Huko msichana Akifika kwenye litungu usiku hukaguliwa na bibi yake hivyo mabikra wengi tu. TAHADHARI, huko usiende kwa lengo la Kuona na kuharibu Nitarudi salama.
 
Back
Top Bottom