Haya ni mawazo mgando sana.
Nchi hii ni masikini sana lakini kwa mawazo
haya lazima iwe masikini zaidi ya hapa.
Kuna thread humu jamvini kuna Dada analalama
kuwa alifanyiwa unyama na Baba yake Mkubwa
ndiyo usichana wake ukatoka.
Jaribu kulinganisja hao rafiki zako waliofanikiwa
kuwatoa bikra wasichana wana maendeleo gani?
Vp nawe usiyewahi kutoka bikra ni masikini mno
Uwe makini na unachowaza! Laa utafungwa.