Katika mzunguko wa vyakula kweli hakuna mchele wa plastiki?

Katika mzunguko wa vyakula kweli hakuna mchele wa plastiki?

Mbona mnazunguka na ujuaji mwingi Elezeeni mchele wa plastic ukoje na unazalishwa vipi !? Sio ujuaji
 
Kiukwel kuna michele mizuri sana na misafi hatar hadi inashitua

Siku hz kuna mashine za grading naamin hiz ndo zinatoa mchele ambao hauna mchanga wala punje,ila ule uweupe wa usafi sana ndo unaonishangaza
 
Habari,

Nimezunguka masokoni huko kuangalia mchele, yaaani mchele mwingi umenyooooka yaaani punje zote za mchele zimenyooooka bila kasoro, saaa nimekuja ulizia hapa hivi hakuna mchele wa plastic?

Na ni namna ipi nzuri kutumia kugundua mchele wa plastic?
kuna mchele wa GMO
 
Watanzania wengi bado wana utoto kichwan, hiv mtu mwenye akili timamu anaweza kuamin kwamba plastk inapikwa ikaiva na ikawa na ladha ya mchele supa kutoka mbeya duh!

Wewe kama mkeo hajui kupka wali kajza maji ukiviliga vizuri tonge lazm lidunde tu, yaan watu walishwe plastk asihis kabisa mdomon? yaan plastk inaweza kuiva kabisa kama wali? tena ikaungwa nazi plastk ikanukia? hebu punguzen ujinga.
 
Mchele wa plastic ukiutumbukiza kwny glass/kikombe chenye maji utaelea juu

Wakati mchele wa kawaida utazama chini
 
Mchele wa plastic
huwez kuukaanga na mAfuta ya Moto ukachambuka punje punje ,utakua unashikamana mabonge mabonge

Tofauti na mchele wa kawaida
Ukiukaanga na mAfuta ya Moto ukachambuka punje punje na haishikamani

Wapishi wengi wa mchele wa plastic huuzamisha kwny maji na kunyunyizia mAfuta ya baridi juu na kukoroga mchanganyiko[emoji4]
 
Mchele wa plastic ukiuweka karibu na Moto, unashika Moto haraka Sana na kuungua

Na process ya Kwanza
Ni kuyeyuka kabla ya kuungua kua masizi.

Tofaut na mchele wa kawaida
Ukiuweka karibu na Moto haushiki moto haraka,

Pia process ya Kwanza
Ni kuungua na kua masizi na sio kuyeyuka Wala kupinda punje zake
 
Mchele wa plastic ukiuweka karibu na Moto, unashika Moto haraka Sana na kuungua

Na process ya Kwanza
Ni kuyeyuka kabla ya kuungua kua masizi.

Tofaut na mchele wa kawaida
Ukiuweka karibu na Moto haushiki moto haraka,

Pia process ya Kwanza
Ni kuungua na kua masizi na sio kuyeyuka Wala kupinda punje zake
Mkuu ilikuaje ukapigwa ban?
 
Mchele wa plastic
huwez kuukaanga na mAfuta ya Moto ukachambuka punje punje ,utakua unashikamana mabonge mabonge

Tofauti na mchele wa kawaida
Ukiukaanga na mAfuta ya Moto ukachambuka punje punje na haishikamani

Wapishi wengi wa mchele wa plastic huuzamisha kwny maji na kunyunyizia mAfuta ya baridi juu na kukoroga mchanganyiko[emoji4]
Mkuu inaonekana mama j anakupikiaga sana huo maan unaujulia sana
 
Mchele wa plastic, pilau lake lina ladha nzur sn likipikwa kwa sukari kuliko chumvi.

NB: Wapenzi wa biriani wanalishwa sana mchele wa plastic uko mitaani
Ilikuwa kidgo tu niwaite wala Biriani kila Friday.
 
Ni propaganda tu hizo tokea izushwege kipindi kilee aijawahi tokea tena ingeshajulikana tu sahivi ni porojo porojo tu akuna kitu kama hicho
 
Ni propaganda tu hizo tokea izushwege kipindi kilee aijawahi tokea tena ingeshajulikana tu sahivi ni porojo porojo tu akuna kitu kama hicho
Ukitaka hata unavotengenezwa nakufundisha, na mashine za kuufyatua zipo nyingi Sana unaagiza unapiga pesa[emoji4]
images-1236.jpg
 
Back
Top Bottom