Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hili kuna haja ya Wapenda soka wa Tanzania walielewe.
Bali haifahamiki pia kwanini Nchi hizo hazibandiki Mabango ya Rais wao Uwanjani, Japo Sheria za FIFA hazikatazi.
Je hawa ambao hawabandiki Mapicha ya Marais Wao Viwanjani ni Wajinga au Wana roho Mbaya?
Bali haifahamiki pia kwanini Nchi hizo hazibandiki Mabango ya Rais wao Uwanjani, Japo Sheria za FIFA hazikatazi.
Je hawa ambao hawabandiki Mapicha ya Marais Wao Viwanjani ni Wajinga au Wana roho Mbaya?