Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
hata kwenye covid tulivyokataa watu kujifungia ndani mlileta vioja kama hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kosa kubwa na la kujutia milele kama tutairudisha ccm madarakani next yearHili kuna haja ya Wapenda soka wa Tanzania walielewe.
Bali haifahamiki pia kwanini Nchi hizo hazibandiki Mabango ya Rais wao Uwanjani, Japo Sheria za FIFA hazikatazi.
Je hawa ambao hawabandiki Mapicha ya Marais Wao Viwanjani ni Wajinga au Wana roho Mbaya?
Utaramba dawa gani?Hakuna kosa kubwa na la kujutia milele kama tutairudisha ccm madarakani next year
Nje ya mada kabisahata kwenye covid tulivyokataa watu kujifungia ndani mlileta vioja kama hivi
Fanya mambo ya maana acha kuoketeza vt vdg km hvyo. Kila nchi ina utamaduni wakeHili kuna haja ya Wapenda soka wa Tanzania walielewe.
Bali haifahamiki pia kwanini Nchi hizo hazibandiki Mabango ya Rais wao Uwanjani, Japo Sheria za FIFA hazikatazi.
Je hawa ambao hawabandiki Mapicha ya Marais Wao Viwanjani ni Wajinga au Wana roho Mbaya?
Wana roho mbaya saaana picha za kiongozi zinatakiwa kuwepo.Hili kuna haja ya Wapenda soka wa Tanzania walielewe.
Bali haifahamiki pia kwanini Nchi hizo hazibandiki Mabango ya Rais wao Uwanjani, Japo Sheria za FIFA hazikatazi.
Je hawa ambao hawabandiki Mapicha ya Marais Wao Viwanjani ni Wajinga au Wana roho Mbaya?
Kwasababu amekula chakula cha kutosha halafu amekunya kwa amaniTanzania ni nchi ya wajinga ,uliona wapi nchi inamshukuru Rais kwa kunya mavi mengi!!
Mkuu usitake kutubambikia tamaduni za kishamba kishamba kama hiziFanya mambo ya maana acha kuoketeza vt vdg km hvyo. Kila nchi ina utamaduni wake
Tukifungwa hutosikia hiko kitu, ndio ujue level ya unafki ni kubwa mno nchi hiiHata tukifungwa shukrani ziende kwa mama
Utamaduni siyo ushamba, acha kiiga mambo siyo ya kwenu.Mkuu usitake kutubambikia tamaduni za kishamba kishamba kama hizi
😆😆😆😆😆😆Wana roho mbaya saaana picha za kiongozi zinatakiwa kuwepo.
Ndiyo maana naomba leo Kizimkazi Stars ifungwe mengi tu.Hili kuna haja ya Wapenda soka wa Tanzania walielewe.
Bali haifahamiki pia kwanini Nchi hizo hazibandiki Mabango ya Rais wao Uwanjani, Japo Sheria za FIFA hazikatazi.
Je hawa ambao hawabandiki Mapicha ya Marais Wao Viwanjani ni Wajinga au Wana roho Mbaya?