Katika Nchi zote zilizofuzu AFCON hakuna hata moja iliyosambaza mabango ya Rais wake Uwanjani

Katika Nchi zote zilizofuzu AFCON hakuna hata moja iliyosambaza mabango ya Rais wake Uwanjani

Hili kuna haja ya Wapenda soka wa Tanzania walielewe.

Bali haifahamiki pia kwanini Nchi hizo hazibandiki Mabango ya Rais wao Uwanjani, Japo Sheria za FIFA hazikatazi.

Je hawa ambao hawabandiki Mapicha ya Marais Wao Viwanjani ni Wajinga au Wana roho Mbaya?
Hakuna kosa kubwa na la kujutia milele kama tutairudisha ccm madarakani next year
 
Hili kuna haja ya Wapenda soka wa Tanzania walielewe.

Bali haifahamiki pia kwanini Nchi hizo hazibandiki Mabango ya Rais wao Uwanjani, Japo Sheria za FIFA hazikatazi.

Je hawa ambao hawabandiki Mapicha ya Marais Wao Viwanjani ni Wajinga au Wana roho Mbaya?
Fanya mambo ya maana acha kuoketeza vt vdg km hvyo. Kila nchi ina utamaduni wake
 
Hili kuna haja ya Wapenda soka wa Tanzania walielewe.

Bali haifahamiki pia kwanini Nchi hizo hazibandiki Mabango ya Rais wao Uwanjani, Japo Sheria za FIFA hazikatazi.

Je hawa ambao hawabandiki Mapicha ya Marais Wao Viwanjani ni Wajinga au Wana roho Mbaya?
Wana roho mbaya saaana picha za kiongozi zinatakiwa kuwepo.
 
Hili kuna haja ya Wapenda soka wa Tanzania walielewe.

Bali haifahamiki pia kwanini Nchi hizo hazibandiki Mabango ya Rais wao Uwanjani, Japo Sheria za FIFA hazikatazi.

Je hawa ambao hawabandiki Mapicha ya Marais Wao Viwanjani ni Wajinga au Wana roho Mbaya?
Ndiyo maana naomba leo Kizimkazi Stars ifungwe mengi tu.
 
Back
Top Bottom