Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
CCM JE
C=3
M=13
3+3=6
13-6=7
KWA HIYO CCM=666
C=3
M=13
3+3=6
13-6=7
KWA HIYO CCM=666
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YESU NI MUNGU WETU SOTE AMEUMBA KILA KITU YOHANA.1:1 YOHANA 1:2-3 NA HIZO NAMBA KAZITENGENEZA YEYEHabari za wakati huu wataalam..
Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.
Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9
Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.
List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.
View attachment 3061449
Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.
Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Sina lengo la kumchafua mtu, ila nimefanya hesabu ambayo ipo wazi na inaeleweka.huna lolote unalolijua. utamchafua Yesu hadi uchoke, atabaki Yesu vilevile.
Hapa nimefanya hesabu ya jina la JESUS sio YesuYESU NI MUNGU WETU SOTE AMEUMBA KILA KITU YOHANA.1:1 YOHANA 1:2-3 NA HIZO NAMBA KAZITENGENEZA YEYE
Nafahamu hilo mkuu, mimi nimefanya kwa jina la JESUS na nimefanya hivyo ili nioneshe kwamba jina hili lina utata.Jesus ni kizungu ,anaitwa Yoshua
Habari za wakati huu wataalam..
Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.
Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9
Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.
List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.
View attachment 3061449
Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.
Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Nimetumia jina hilo ili kuonyesha kwamba lina utata mkubwa, ni vyema waumini kutumia majina halisiKwa nini umechagua jina la Yesu la Kingereza? Au Kingereza ni lugha ya mbinguni kama Kiarab? Navyoona bado haujamaliza homework yako. Kafangie kazi na haya majina ya Yesu kwenye lugha nyingine:
1. Hebrew Jesus ni Yeshua (יֵשׁוּעַ)
2. Kiswahili Jesus ni Yesu
3. Kiarab (Islam) ni Jesus ni Isa (عيسى)
4. Kiarab (Christian) Jesus ni Yasu (يسوع)
5. Amharic Jesus ni Iyesus (እየሱስ።)
Sasa hebu tupe numerology kwa hayo majina mengine.
Ungaunga kutafuta uchokozi, na Yesu je?Habari za wakati huu wataalam..
Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.
Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9
Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.
List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.
View attachment 3061449
Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.
Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Yaani weww ndiyo unawambia kuwa lina utata? Kama hawatumii kingereza? Labda ukamwambie mfalme Charles III.Nimetumia jina hilo ili kuonyesha kwamba lina utata mkubwa, ni vyema waumini kutumia majina halisi
Sawa nitamwambia mfalme Charles IIIYaani weww ndiyo unawambia kuwa lina utata? Kama hawatumii kingereza? Labda ukamwambie mfalme Charles III.
JINA YESU/ JESUS/ YESHUA ni Jina la Mungu mwenyewe .
Mimi nimetumia JESUS sio yesuKwani yesu ndio nan apo dasilam?
Mwite vyovyote, anabaki kuwa Mungu.Jesus ni kizungu ,anaitwa Yoshua
Sawa mkuuMimi nimetumia JESUS sio yesu
Hii fomula umetumia ipo verified au umebuni mkuuHabari za wakati huu wataalam..
Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.
Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9
Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.
List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.
View attachment 3061449
Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.
Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Hiyo ni formula maalum Mkuu, unaweza kutafuta source mbadala na ukaonaHii fomula umetumia ipo verified au umebuni mkuu