- Feb 10, 2006
- 4,324
- 13,967
Nashangaa wamekubaliana wasitaje jina la Mkuchika lakini mabango mengi yana jina hilo!
Kumbe jina la Mkuchika litaendelea kutamba pamoja na kifungo kutoisha
Shy,Mtaandamana sana mwaka huu hata waandishi wa habari mnaowanyanyasa katika vyombo vyenu nao wataandamana kabla ya mwisho wa mwezi huu
Hivi ni kweli picha ninazoweka hazionekani wakuu? Itabidi nirekebishe kama ni hivyohizo picha mbona hatuzioni naona umesema picha hizi hapa ziko wapi?
Nachelea kusema mkuu, ngoja nimalize kuweka picha halafu niandike kilichoongeleka.Kumbe wakibonyezwa hulalamika.Duu wakipakazia ok.Its high time wakawa wanahariri habari kujiepusha na kufungwa midomo.Haya kubenea bado ya wenyeviti.ingawa kwa mahakama anajiamini labda anamjomba.
hizo picha mbona hatuzioni naona umesema picha hizi hapa ziko wapi?