- Feb 10, 2006
- 4,324
- 13,967
Heshima zenu wakuu,
Leo kuanzia saa 4 kamili asubuhi mpaka saa 6 kamili kulikuwa na maandamano yaa amani ya wanahabari ambayo yalianzia Mtaa wa Lugoda Jijini Dar es Salaam kuelekea Makao Makuu ya Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo. Sina nakala ya ujumbe uliopelekwa kwa waziri hapa lakini pindi nikipata nakala hiyo nitawaleteeni.
Picha na maelezo yake ni kama ifuatavyo:
Hapa ni mtaa wa Lugoda mbele ya ofisi za Business Times ambapo maandamano yalianzia. Mabango yanajieleza, siongezi kitu!
Basi midomo mingi ilionekana hivi.
Naendelea
Leo kuanzia saa 4 kamili asubuhi mpaka saa 6 kamili kulikuwa na maandamano yaa amani ya wanahabari ambayo yalianzia Mtaa wa Lugoda Jijini Dar es Salaam kuelekea Makao Makuu ya Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo. Sina nakala ya ujumbe uliopelekwa kwa waziri hapa lakini pindi nikipata nakala hiyo nitawaleteeni.
Picha na maelezo yake ni kama ifuatavyo:
Hapa ni mtaa wa Lugoda mbele ya ofisi za Business Times ambapo maandamano yalianzia. Mabango yanajieleza, siongezi kitu!
Basi midomo mingi ilionekana hivi.
Naendelea