Katika pitapita zangu nimekutana na hili namuomba MK254 anitafsrie

Katika pitapita zangu nimekutana na hili namuomba MK254 anitafsrie

mzalendoalltz

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
828
Reaction score
709
Hivi kweli jambo kama hili kwa nchi yenye kipato cha kati yanawezatokea ama naota.

 
Hehehehe!! Wewe bwege kweli, uliambiwa nchi kuwa kwenye uchumi wa kiwango cha kati ina maana watu wasichangamkie pombe ya bure, hebu lori la beer libinuke kwenye kitaa chochote Marekani uone mziki wake hapo.
 
Hehehehe!! Wewe bwege kweli, uliambiwa nchi kuwa kwenye uchumi wa kiwango cha kati ina maana watu wasichangamkie pombe ya bure, hebu lori la beer libinuke kwenye kitaa chochote Marekani uone mziki wake hapo.
Unataka kusema na marekani nao wanakula mavi kama kwenu
 
Hehehehe!! Wewe bwege kweli, uliambiwa nchi kuwa kwenye uchumi wa kiwango cha kati ina maana watu wasichangamkie pombe ya bure, hebu lori la beer libinuke kwenye kitaa chochote Marekani uone mziki wake hapo.

Amesikika mlevi mkoja miongonj mwao akidai Leo hatukunywi Chang’aa[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hehehehe!! Wewe bwege kweli, uliambiwa nchi kuwa kwenye uchumi wa kiwango cha kati ina maana watu wasichangamkie pombe ya bure, hebu lori la beer libinuke kwenye kitaa chochote Marekani uone mziki wake hapo.
wacha marekani...kuna shekhe mmoja london ka simamisha lambo na kaanza kurusha hela juu na mizungu wanabwakurana...yani sijui watanzania wana nn..ikiwa ni kitu negative kwao...mzungu ni beberu..lkn km ni positive humtumiz mzungu kw mifaano yao
 
Back
Top Bottom