Katika Radio zenye on air studio kali tz,probably wasafi fm ni namba moja tz.

Katika Radio zenye on air studio kali tz,probably wasafi fm ni namba moja tz.

Amini kwamba chalianga,Iyo NRG Radio ni kisanga robo3 dingii alaf Block89 sidhani kama mtu imara anastahili kuwa pale,ni mkimya kisoro asee alaf hana Chemistry na wenzake,sijajua labda bado mpya kwenye Hizi mbanga

kumbe na wewe umeona eeh nkajua pekeangu tu. alafu wale jamaa wa block89 wanaigana sana huyo mtu imara hana maswali mazuri kwenye interview, utoto mwingi mara "show love" mara sijui "dada ake na godiii" mara utaskia " you understand" yani pale mwenye maswali mazuri yenye utafiti ni yule dada calipso ila wengine utoto mwingi maswali ya kizamani sana. Kwa style hii kuwapindua watu kama XXL na Planet Bongo ni ngumu sana wajipange upya kwa kweli.
 
pale clouds wana studio kama geto alafu sudy anapambana na mondi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kweli hata ukilisikiliza redio ipo clear sana, clear sound, mdundo n.k
 
Hahahaha Mkuu acha aisee,zilikuwa bora kabla ya wasafi na E-FM.
 
Tanzania inazidi kupiga hatua katika investment ya media house's Tuliona azam tv alivokuja na ni azam ni namba moja upande wa TV studio's ila kwenye radio bado.

Upande wa radio hapa tz kuna watu wamewekeza vizuri Sana,kama E-FM,na nyinginezo mikoani.

Lakini katika wote hawa wasafi chini ya diamond wamekuja kivingine katika upande wa investment ya media ukiachana na TV yao iliyotangulia na inafanya vizuri tu, na tayari wanapata sponsors vizuri tu

Tofauti na watu walivokuwa wanawakatisha tamaa na majungu mengi.

Watu walidhani jamaa wanatania kuja na media yao,lakini mpaka sasa wanachanja mbuga,

Nimebahatika kuiona on air studio yao kwenye mitandao,aiseee nadhani kwa hapa tz Hakuna on air studio ya redio kali Kama ya wasafi fm na inasadifu Jina hilo.

Nadhani inawezekana ukitaja Africa mashariki au Afrika inaweza kuwa kwenye top 3,naamini hivyo na Kama kuna mtu anabisha na anapicha au studio za redio zingine bongo au Africa,on air studio za redio kali Kama wasafi atuwekee hapa tushindanishe.

Mimi binafsi kwa tz na Africa mashariki nawapa namba moja,na nawapongeza kwa hatua hii,wanazidi kuwafunga midomo haters wao kila siku.View attachment 1101841View attachment 1101842View attachment 1101843View attachment 1101844View attachment 1101845View attachment 1101846


Kusaga ana kazi ya kujishinda, master minder kama ruge anatakiwa wasafi FM.

dunia ya sasa ya digital content matters alot, wana miaka 12 kuipata crew nzima ya clouds, efm, east africa

Moja ya kosa la Kusaga kufungua wasafi FM huku akiwa na Clouds ni alitakiwa kuwaandaa au kusajiri kikosi
 
Watu wanataka contents na ubunifu.

Kama hakuna hampati mtu.
 
Kusaga ana kazi ya kujishinda, master minder kama ruge anatakiwa wasafi FM.

dunia ya sasa ya digital content matters alot, wana miaka 12 kuipata crew nzima ya clouds, efm, east africa

Moja ya kosa la Kusaga kufungua wasafi FM huku akiwa na Clouds ni alitakiwa kuwaandaa au kusajiri kikosi
Mbona kuna watangazaji wazuri Sana pale na wanapiga kazi nzuri,mfano tu kwenye TV,graphics za wasafi ni bora kuliko Cloud's TV,na wameshaanza kuachwa Mbali kwa Ubora wa matangazo.
 
Kweli Mondi anapenda vitu Vizuri hilo halina ubishi. Kuanzia mademu wakale akina Madame Sepenga, Mobeto, Uwoya Zarri Kisuu woooote mwanaume wa ukweli lazima ugegede tuuu hata leo ukipewa mchango, basi tu uwezo hauruhusu. Sasa atashindwaje kuwa na Studio ya kisasa zaidi.
 
Back
Top Bottom