Katika Radio zenye on air studio kali tz,probably wasafi fm ni namba moja tz.

Mleta mada utakua mgonjwa kama co
Umechiz tembea uone inawezekana hio
Ndo studio yako ya kwanza kuona
Hee hee
 
Mleta mada utakua mgonjwa kama co
Umechiz tembea uone inawezekana hio
Ndo studio yako ya kwanza kuona
Hee hee
We kenge Weka hapa hizo picha za hio studio Kama sio B12 wewe basi sudy,hivi unaelewa maana ya neno probably?acha kukurupuka Kama mbakaji.
 
Aisee Wasafi niliwachukulia poa.Ngoma mnazopiga noma mida hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…