Nadhani haijatajwa kabisa. Sikumbuki vizuri lakini.
Ila ni lazima kusaini mkataba wa kazi hata kama utaonyesha probation na kutoa vigezo. namaanisha kabla ya kuanza kazi lazma mkataba usainiwe kuwa tunakupa kazj hii na utakuwa probation kwa muda kadhaa. Kutegemeana na kazi unayopewa jnaweza kupewa probation hata ya mwaka mzima.
Pia mkataba unatakikana uwe na njia za kutoa feedback kama vigezo havifikiwi (mfano review ya mdomo, ikifuatiwa na review ya maandishi baada ya muda flani endapo haujafikia vigezo na kuambiwa unategemewa kufanya nini cha ziada). Hii itaondoa kuonewa.