mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Uko serias nikupasie pisi huko dodomaDaah....nisaidie na mimi kaka(ndugu yako above 40 years) nipasie hata mmoja awe na sura nzuri na shape nzuri.msafi na elimu angalau kidato cha nne. Nisaidie sana.
Mfano nipo week ya Pili hii Dodoma sijaona ISSUE yaani mpaka roho inaniuma. Wenzangu tuliokuja nao wanajipatia blankets nzuri nyingi tu.mimi nalala na baridi naamka na baridi.na hii mvua inayonyesha....naumia sana.