Katika uchunguzi wangu nilioufanya, nimegundua hizi sifa za wanaume wa Dar

Katika uchunguzi wangu nilioufanya, nimegundua hizi sifa za wanaume wa Dar

digodigo

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
311
Reaction score
254
Katika uchunguzi wangu nilioufanya kwa miaka kadhaa nimegundua yafuatayo:
  • Wengi wao wanapenda kushidia chipsi/yai
  • Nguvu hawana wamekaa kama mrendamrenda watoto wa mama
  • Hapa na pale tu usafiri
  • Kama si kasusu, kimoko chali
  • Wanapenda kuvaa vikaptura kuonyesha sehemu kubwa za maungo yao
  • Pia visuluari vinavyobana kuonyesha figa kama ma-she
  • Wakibanannishwa kidogo na watekaji si kelele hizo za kuomba msaada huku kamasi nje nje na hata wale unaowaomba msaada ni timu moja unategemea nini.
  • Kujipulizia manukato kila mahali dume unatakiwa uwe na smell ya he goat bwana
Mengine jazia.
 
Unaweza kutembea kwa Mguu kutoka Gongo la Mboto mpaka Stand ya Mabus ya Magufuli, unajua unatumia muda gani kutembea kutoka Gongo la Mboto mpaka kufika Kimara, Mbezi na unajua ukifika unakua na hali gani? Km hujui hilo kaa kimya hauwajui watu wanaoishi Dar wewe
 
Dume anuke mbuzimbuzi jaman, au anukie harufu ya mbupu mwili mzima ndio unapenda wenzako wawe? Mm nawapenda kwa kweli wanaume wa Dar wala hawana shida ila hata wa mikoani nawapenda shida tu ushamba ila moto wanajua kupeleka sanaa.
 
Katika uchunguzi wangu nilioufanya kwa miaka kadhaa nimegundua yafuatayo:
. Wengi wao wanapenda kushidia chipsi/yai
. Nguvu hawana wamekaa kama mrendamrenda watoto wa mama
. Hapa na pale tu usafiri
. Kama si kasusi, kimoko chali..
.Wanapenda kuvaa vikaptura kuonyesha sehemu kubwa za maungo yao
. Pia visuluari vinavyobana kuonyesha figa kama ma-she
. Wakibanannishwa kidogo na watekaji si kelele hizo za kuomba msaada huku kamasi nje nje na hata wale unaowaomba msaada ni timu moja unategemea nini.
. Kujipulizia manukato kila mahali dume unatakiwa uwe na smell ya he goat bwana
Mengine jazia...........................
Screenshot_20241127-175858.png
 
Back
Top Bottom