Katika uchunguzi wangu nilioufanya kwa miaka kadhaa nimegundua yafuatayo:
- Wengi wao wanapenda kushidia chipsi/yai
- Nguvu hawana wamekaa kama mrendamrenda watoto wa mama
- Hapa na pale tu usafiri
- Kama si kasusu, kimoko chali
- Wanapenda kuvaa vikaptura kuonyesha sehemu kubwa za maungo yao
- Pia visuluari vinavyobana kuonyesha figa kama ma-she
- Wakibanannishwa kidogo na watekaji si kelele hizo za kuomba msaada huku kamasi nje nje na hata wale unaowaomba msaada ni timu moja unategemea nini.
- Kujipulizia manukato kila mahali dume unatakiwa uwe na smell ya he goat bwana