Katika utafutaji wa rizki kuwa makini na watu, rafiki yangu kafa kikatili sana

Katika utafutaji wa rizki kuwa makini na watu, rafiki yangu kafa kikatili sana

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!
Rafiki yangu wa kazi, rafiki wa faida. Mimi na yeye sio marafiki kama nilivyoandika hapo juu ila tuko karibu kuliko hata hao mnaowaita marafiki.

Hatuongei jambo lolote isipokuwa issue ya fedha tu. Urafiki wetu ulikuwa kwenye mambo ya fedha pekee.
Nimeongea naye na kufanya biashara vizuri. Zimepita siku mbili naona simu yake akaniambia kuwa jana nikiwa kazini nilianguka ghafla na kuwahishwa hospital, nimefanyiwa vipimo vingi sana sina tatizo zaidi ya dalili tu za vidonda vya tumbo.

Akaendelea kuwa alikuwa hoi sana. Mwenyewe si mtu wa Rohoni nikamwambia hiyo ni michezo ya Uswahilini akasema ni kweli ni mambo ya wivu wanaona napata sana.

Haikupita wiki napata taarifa ya mshituko kuwa amefariki. Nimeumia sana, naona mkwamo wa kiuchumi mbele yangu. Lakini tajipanga upya. Pia nimeumia kwa dhuluma aliyofanyiwa.

Taarifa ya msiba nilipewa na mtu mmoja ambaye alimtuma dada mmoja aniombe namba, yule mtu namfahamu kidogo nimemwonea kama mara mbili tatu hivi. Nikampa namba akaniambia njoo hapa mara moja nikupe taarifa ya msiba. Nikaenda nikiwa na hofu nilihisi mwamba kafariki itakuwa maana jana nilipiga simu yake haijapokelewa na leo iligoma kabisa kuita.

Jamaa akaniambia Jamaa katangulia mbele za haki usihofu sasa biashara tufanye na Mimi. Wanadamu wabaya sana, siku unakufa tu watu wanakaba nafasi yako hawawazi familia yako, hawawazi safari yako kwa Mungu ikoje. Moja kwa moja nikamjua adui aliyemfanyia unyama rafiki yangu.

Kuwa makini na wanadamu, mtu yuko tayari akutupe kwenye shimo la futi elfu 10 ukaliwe na mijusi huko ili tu apate anachotaka bila kujali ukubwa wa kitu anachotaka.
 
Mbona mnapenda kukimbilia kuamini mambo ya kishirikina sana?

Yawezekana mtu alikuwa na matatizo yake tu. Haijalishi kupima na kutoonekana ugonjwa kuwa mtu kalogwa.

Huyo jamaa pia yupo sawa ku sieze hiyo opportunity ya biashara kwakuwa ni survival instict (anatembea na gap faster kabla mtu mwingine hajalitumia maana mwisho wa siku lazima maisha yaendelee).
 
Hello!
Rafiki yangu wa kazi, rafiki wa faida. Mimi na yeye sio marafiki kama nilivyoandika hapo juu ila tuko karibu kuliko hata hao mnaowaita marafiki.

Hatuongei jambo lolote isipokuwa issue ya fedha tu. Urafiki wetu ulikuwa kwenye mambo ya fedha pekee.
Nimeongea naye na kufanya biashara vizuri. Zimepita siku mbili naona simu yake akaniambia kuwa jana nikiwa kazini nilianguka ghafla na kuwahishwa hospital, nimefanyiwa vipimo vingi sana sina tatizo zaidi ya dalili tu za vidonda vya tumbo.

Akaendelea kuwa alikuwa hoi sana. Mwenyewe si mtu wa Rohoni nikamwambia hiyo ni michezo ya Uswahilini akasema ni kweli ni mambo ya wivu wanaona napata sana.

Haikupita wiki napata taarifa ya mshituko kuwa amefariki. Nimeumia sana, naona mkwamo wa kiuchumi mbele yangu. Lakini tajipanga upya.
Pia nimeumia kwa dhuluma aliyofanyiwa.
Taarifa ya msiba nilipewa na mtu mmoja ambaye alimtuma dada mmoja aniombe namba, yule mtu namfahamu kidogo nimemwonea kama mara mbili tatu hivi. Nikampa namba akaniambia njoo hapa mara moja nikupe taarifa ya msiba. Nikaenda nikiwa na hofu nilihisi mwamba kafariki itakuwa maana jana nilipiga simu yake haijapokelewa na leo iligoma kabisa kuita.

Jamaa akaniambia Jamaa katangulia mbele za haki usihofu sasa biashara tufanye na Mimi .
Wanadamu wabaya sana, siku unakufa tu watu wanakaba nafasi yako hawawazi familia yako, hawawazi safari yako kwa Mungu ikoje.
Moja kwa moja nikamjua adui aliyemfanyia unyama rafiki yangu.

Kuwa makini na wanadamu, mtu yuko tayari akutupe kwenye shimo la futi elfu 10 ukaliwe na mijusi huko ili tu apate anachotaka bila kujali ukubwa wa kitu anachotaka.
MPIGENI SIGIRI YA SOLOMONI HUYO
 
Hello!
Rafiki yangu wa kazi, rafiki wa faida. Mimi na yeye sio marafiki kama nilivyoandika hapo juu ila tuko karibu kuliko hata hao mnaowaita marafiki.

Hatuongei jambo lolote isipokuwa issue ya fedha tu. Urafiki wetu ulikuwa kwenye mambo ya fedha pekee.
Nimeongea naye na kufanya biashara vizuri. Zimepita siku mbili naona simu yake akaniambia kuwa jana nikiwa kazini nilianguka ghafla na kuwahishwa hospital, nimefanyiwa vipimo vingi sana sina tatizo zaidi ya dalili tu za vidonda vya tumbo.

Akaendelea kuwa alikuwa hoi sana. Mwenyewe si mtu wa Rohoni nikamwambia hiyo ni michezo ya Uswahilini akasema ni kweli ni mambo ya wivu wanaona napata sana.

Haikupita wiki napata taarifa ya mshituko kuwa amefariki. Nimeumia sana, naona mkwamo wa kiuchumi mbele yangu. Lakini tajipanga upya. Pia nimeumia kwa dhuluma aliyofanyiwa.

Taarifa ya msiba nilipewa na mtu mmoja ambaye alimtuma dada mmoja aniombe namba, yule mtu namfahamu kidogo nimemwonea kama mara mbili tatu hivi. Nikampa namba akaniambia njoo hapa mara moja nikupe taarifa ya msiba. Nikaenda nikiwa na hofu nilihisi mwamba kafariki itakuwa maana jana nilipiga simu yake haijapokelewa na leo iligoma kabisa kuita.

Jamaa akaniambia Jamaa katangulia mbele za haki usihofu sasa biashara tufanye na Mimi. Wanadamu wabaya sana, siku unakufa tu watu wanakaba nafasi yako hawawazi familia yako, hawawazi safari yako kwa Mungu ikoje. Moja kwa moja nikamjua adui aliyemfanyia unyama rafiki yangu.

Kuwa makini na wanadamu, mtu yuko tayari akutupe kwenye shimo la futi elfu 10 ukaliwe na mijusi huko ili tu apate anachotaka bila kujali ukubwa wa kitu anachotaka.
Ukifanya mchezo na ww Hofu Itakuondoa!
Mwanafalsafa na mwanasayansi Nguli Albert Einstein aliwahi kusema maneno haya " Mara nyingi adui wa Mtu sio yule nje tunayemuona kwa macho yetu na kudhani ndiye adui wetu mkubwa, Ila adui mkubwa kwenye maisha yetu ni yule tusiyemuona Kwa macho Ila tunaishi naye na tunatembea naye na Kila tuendapo yupo pamoja nasi naye ni HOFU " Fear".

Kwenye MAISHA hakuna Mtu asiyepitia nyakati za HOFU:

Unapokuwa Mzee na kustafuu kazi unapitia nyakati za HOFU kama sijui uzee wangu utakuwaje?

Wapo waliomaliza Chuo hajapata kazi ametembea na bahasha mpaka amechoka naye anapitia kipindi Cha HOFU

Biashara haiendi vizuri na una mkopo mkubwa bank unapitia kipindi Cha HOFU sijui Nyumba yangu itauzwa ikiuzwa nitaishi wapi?

Mahusiano hayaendi vizuri nalo ni bonde la HOFU

Daktari amesema ugonjwa wako hautapona Hofu ya kifo unaiona

Mara nyingi umeahirisha kufanya jambo Fulani Kwa sababu ya hofu ya kuchekwa,kushindwa kuogopa kusemwa vibaya au maadui zako kunyanyuka hasa wale Dreamer Killer.

Hata Yesu alipokaribia kisulubishwa naye alipitia kipindi Cha Hofu mpaka kusema kikombe hiki kiniepuke

Muimba zaburi ya 23 anasema nijapopita bonde la uvuli WA mauti HAPA anaonyesha lazima Kwenye maisha upite katika bonde la Hofu.

Usikate tamaa ishinde Hofu Kwa kusema najua.mteteaji wangu Yu hai na hata hili nalo litapita.
Thomas Edson aliyetengeneza bulb za umeme hakukubali fear imsumbue pamoja na kushindwa majaribio yake 999 walipomwambia mbona umeshindwa Mara nyingi hivyo alisema siogopi kushindwa maana najua kushindwa kwangu ni kushinda na 1000 akashinda na Leo tunatumia bulb za umeme matokea ya Thomas Edson.
 
Hello!
Rafiki yangu wa kazi, rafiki wa faida. Mimi na yeye sio marafiki kama nilivyoandika hapo juu ila tuko karibu kuliko hata hao mnaowaita marafiki.

Hatuongei jambo lolote isipokuwa issue ya fedha tu. Urafiki wetu ulikuwa kwenye mambo ya fedha pekee.
Nimeongea naye na kufanya biashara vizuri. Zimepita siku mbili naona simu yake akaniambia kuwa jana nikiwa kazini nilianguka ghafla na kuwahishwa hospital, nimefanyiwa vipimo vingi sana sina tatizo zaidi ya dalili tu za vidonda vya tumbo.

Akaendelea kuwa alikuwa hoi sana. Mwenyewe si mtu wa Rohoni nikamwambia hiyo ni michezo ya Uswahilini akasema ni kweli ni mambo ya wivu wanaona napata sana.

Haikupita wiki napata taarifa ya mshituko kuwa amefariki. Nimeumia sana, naona mkwamo wa kiuchumi mbele yangu. Lakini tajipanga upya. Pia nimeumia kwa dhuluma aliyofanyiwa.

Taarifa ya msiba nilipewa na mtu mmoja ambaye alimtuma dada mmoja aniombe namba, yule mtu namfahamu kidogo nimemwonea kama mara mbili tatu hivi. Nikampa namba akaniambia njoo hapa mara moja nikupe taarifa ya msiba. Nikaenda nikiwa na hofu nilihisi mwamba kafariki itakuwa maana jana nilipiga simu yake haijapokelewa na leo iligoma kabisa kuita.

Jamaa akaniambia Jamaa katangulia mbele za haki usihofu sasa biashara tufanye na Mimi. Wanadamu wabaya sana, siku unakufa tu watu wanakaba nafasi yako hawawazi familia yako, hawawazi safari yako kwa Mungu ikoje. Moja kwa moja nikamjua adui aliyemfanyia unyama rafiki yangu.

Kuwa makini na wanadamu, mtu yuko tayari akutupe kwenye shimo la futi elfu 10 ukaliwe na mijusi huko ili tu apate anachotaka bila kujali ukubwa wa kitu anachotaka.
Aisee
 
Mkuu
Ukifanya mchezo na ww Hofu Itakuondoa!
Mwanafalsafa na mwanasayansi Nguli Albert Einstein aliwahi kusema maneno haya " Mara nyingi adui wa Mtu sio yule nje tunayemuona kwa macho yetu na kudhani ndiye adui wetu mkubwa, Ila adui mkubwa kwenye maisha yetu ni yule tusiyemuona Kwa macho Ila tunaishi naye na tunatembea naye na Kila tuendapo yupo pamoja nasi naye ni HOFU " Fear".

Kwenye MAISHA hakuna Mtu asiyepitia nyakati za HOFU:

Unapokuwa Mzee na kustafuu kazi unapitia nyakati za HOFU kama sijui uzee wangu utakuwaje?

Wapo waliomaliza Chuo hajapata kazi ametembea na bahasha mpaka amechoka naye anapitia kipindi Cha HOFU

Biashara haiendi vizuri na una mkopo mkubwa bank unapitia kipindi Cha HOFU sijui Nyumba yangu itauzwa ikiuzwa nitaishi wapi?

Mahusiano hayaendi vizuri nalo ni bonde la HOFU

Daktari amesema ugonjwa wako hautapona Hofu ya kifo unaiona

Mara nyingi umeahirisha kufanya jambo Fulani Kwa sababu ya hofu ya kuchekwa,kushindwa kuogopa kusemwa vibaya au maadui zako kunyanyuka hasa wale Dreamer Killer.

Hata Yesu alipokaribia kisulubishwa naye alipitia kipindi Cha Hofu mpaka kusema kikombe hiki kiniepuke

Muimba zaburi ya 23 anasema nijapopita bonde la uvuli WA mauti HAPA anaonyesha lazima Kwenye maisha upite katika bonde la Hofu.

Usikate tamaa ishinde Hofu Kwa kusema najua.mteteaji wangu Yu hai na hata hili nalo litapita.
Thomas Edson aliyetengeneza bulb za umeme hakukubali fear imsumbue pamoja na kushindwa majaribio yake 999 walipomwambia mbona umeshindwa Mara nyingi hivyo alisema siogopi kushindwa maana najua kushindwa kwangu ni kushinda na 1000 akashinda na Leo tunatumia bulb za umeme matokea ya Thomas Edson.
Point yako nimeipata vyema

"Mahala palipo na Hofu, ndipo palipo ushindi wangu hakika 💪🏾
 
Hello!
Rafiki yangu wa kazi, rafiki wa faida. Mimi na yeye sio marafiki kama nilivyoandika hapo juu ila tuko karibu kuliko hata hao mnaowaita marafiki.

Hatuongei jambo lolote isipokuwa issue ya fedha tu. Urafiki wetu ulikuwa kwenye mambo ya fedha pekee.
Nimeongea naye na kufanya biashara vizuri. Zimepita siku mbili naona simu yake akaniambia kuwa jana nikiwa kazini nilianguka ghafla na kuwahishwa hospital, nimefanyiwa vipimo vingi sana sina tatizo zaidi ya dalili tu za vidonda vya tumbo.

Akaendelea kuwa alikuwa hoi sana. Mwenyewe si mtu wa Rohoni nikamwambia hiyo ni michezo ya Uswahilini akasema ni kweli ni mambo ya wivu wanaona napata sana.

Haikupita wiki napata taarifa ya mshituko kuwa amefariki. Nimeumia sana, naona mkwamo wa kiuchumi mbele yangu. Lakini tajipanga upya. Pia nimeumia kwa dhuluma aliyofanyiwa.

Taarifa ya msiba nilipewa na mtu mmoja ambaye alimtuma dada mmoja aniombe namba, yule mtu namfahamu kidogo nimemwonea kama mara mbili tatu hivi. Nikampa namba akaniambia njoo hapa mara moja nikupe taarifa ya msiba. Nikaenda nikiwa na hofu nilihisi mwamba kafariki itakuwa maana jana nilipiga simu yake haijapokelewa na leo iligoma kabisa kuita.

Jamaa akaniambia Jamaa katangulia mbele za haki usihofu sasa biashara tufanye na Mimi. Wanadamu wabaya sana, siku unakufa tu watu wanakaba nafasi yako hawawazi familia yako, hawawazi safari yako kwa Mungu ikoje. Moja kwa moja nikamjua adui aliyemfanyia unyama rafiki yangu.

Kuwa makini na wanadamu, mtu yuko tayari akutupe kwenye shimo la futi elfu 10 ukaliwe na mijusi huko ili tu apate anachotaka bila kujali ukubwa wa kitu anachotaka.
The most dangerous enemy in your life is your close-friebds, be very careful with whom you chose to be your friend.
Either, never trust anyone in your life except yourself. Trusting people will get you killed.
Always Take a great care!
 
Mwili wa binadamu haueezi fanya jambo la kipuuzi pasipo kuingiliwa
Mbona mnapenda kukimbilia kuamini mambo ya kishirikina sana?

Yawezekana mtu alikuwa na matatizo yake tu. Haijalishi kupima na kutoonekana ugonjwa kuwa mtu kalogwa.

Huyo jamaa pia yupo sawa ku sieze hiyo opportunity ya biashara kwakuwa ni survival instict (anatembea na gap faster kabla mtu mwingine hajalitumia maana mwisho wa siku lazima maisha yaendelee).
 
Back
Top Bottom