Katika vitu ambavyo hutakiwi kusahau katika maisha yako ni kutoa Zaka, uwe Mkristo, Mpagani au Muislam

Zaka na Sadaka si ombi ni lazima
 

Hatuangalii imetumikaje tunachoangalia ni nia yako mtoaji juu ya zaka hiyo,kumbuka kabal hujatoa inene yaliyo mema.
 
Saidia kweli wasiojiweza....barikiwa sana
 
Yaani uhangaike wale wengine? Tena kwa kujiona wajanja sana.
 
Kama wewe unajua kwamba mungu yupo! Hakikisha unatoa ZAKA! Fanya utani na masihara kwenye mambo yote lakini toa ZAKA! Babu yangu miaka Kumi iliyopita aliugua tb ambayo ilifanya apofuke macho! Hivyo akahudhuria kliniki na
ile zaka muhimu zaidi ni kuwatembelea na kuwapatia waginjwa, wazee , yatima na wahitaji mbalimbali wanaotuzunguka,
Hutanung'unika kwa mmiminiko wa faida za kiroho na za kimwili utakazojaaliwa na Allah.
 
Kwahiyo kila mkiitoa maiti nje inazinduka sio? Afrika kuna maujinga mengi sana!
 
Mungu hayupo.

ZAKA NI WIZI NA UTAPELI.

Kataa Zaka, Zaka ni Utapeli.
 
KAULI ZA MATAPELI WA KISOSHOLOJIA.
 

Attachments

Amin
 
Zaka ni kwaajiri ya walawi, agano la kale, with new covenant zaka hakuna, Yesu alisisitiza kutoa ulichonacho na kuwasaidia wenye uhitaji. Haya mambo ya zaka yalikuwa specific for isralites
 
Hatuangalii imetumikaje tunachoangalia ni nia yako mtoaji juu ya zaka hiyo,kumbuka kabal hujatoa inene yaliyo mema.
Kumbuka Yesu alivyotoa mfano wa watu atakaosema " nilini ulituomba maji tukakunyima"? Yesu akawambia mnapo wasaidia watu mmenipa Mimi. Hivyo kutoa kwa wahitaji ni muhimu, pia kutoa kanisani au msikitini ni muhimu pia. Lakini wasiwatishe na kuwadanganya kuwa usipotoa mambo yako hayaendi sii kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…