Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Godwini Mollel amesema kwamba Corona kwa Tanzania imedhibitiwa, Serikali imetumia Bill. 28 kwaajili ya kununua vifaa vya Maabara kwaajili ya kupambana dhidi ya Corona.
"Ugonjwa huu wa Corona kwa kawaida hauonekani kwa macho, ili uthibitike una ugonjwa huu nilazima ukweli uupate kupitia Maabara na sio sehemu nyingine yoyoye,
Tatizo la kupumua lipo miaka yote kama magonjwa mengine" Dkt Mollel.
Leo kwenye#The Big AJENDA.
#StarTvUpdates
"Ugonjwa huu wa Corona kwa kawaida hauonekani kwa macho, ili uthibitike una ugonjwa huu nilazima ukweli uupate kupitia Maabara na sio sehemu nyingine yoyoye,
Tatizo la kupumua lipo miaka yote kama magonjwa mengine" Dkt Mollel.
Leo kwenye#The Big AJENDA.
#StarTvUpdates