King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,041
- 1,349
- Thread starter
-
- #21
Kushoto ni kanisa , kulia nyumba ya mchungaji zote ziko barabarani , zimeziba barabara inayotoka Westland primary school .Kama wewe ndiye uliyejenga hapo pembeni..watakuwa wanakupigia kelele sana.
Huzijui mamlaka zinatoa vibali vya ujenzi na kusimamia mipango miji na kuzuia ujenzi holela kwenye miji na majiji .Unayo Ramani ya mji?
Mtaje aliyepewa Rushwa
Magu alisha waambia tatizo la Tabora ni Majungu, kwa hela gani walizonazo na kanisaHuzijui mamlaka zinatoa vibali vya ujenzi na kusimamia mipango miji na kuzuia ujenzi holela kwenye miji na majiji .
Tumia hata akili za mbuzi kuvukia barabara , kuna majungu gani hapa kwenye hii taarifa wewe mlokole uchwara .Magu alisha waambia tatizo la Tabora ni Majungu, kwa hela gani walizonazo na kanisa
ndio hilo la mabati, Hebu yamalizeni huko serikali za mitaa.
Kiongozi wa ukoo amepanga January tugawane mali za family, wale wanaoishi kweny nyumba za ukoo cjui wataenda kuishi wapi..Mungu atusaidie sanaTumia hata akili za mbuzi kuvukia barabara , kuna majungu gani hapa kwenye hii taarifa wewe mlokole uchwara .
Hiv tuliskia wenye vyeti wanarudishwa kazin, kumbe wengine bado hawajarudi tu, hawa waotusumbua mtandaoni si wale waliotumbuliwa kwel, watafutie kazi ya kufanya waache kufuatilia maisha ya watuHuzijui mamlaka zinatoa vibali vya ujenzi na kusimamia mipango miji na kuzuia ujenzi holela kwenye miji na majiji .