lord commander
Member
- Feb 2, 2024
- 23
- 104
Mjibu mkeo nisipokuta maji utanijua vizuri utayakuta maji . Usiwe bwegeLeo nikiwa zangu kazini katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, wife ananipigia simu kuwa nitakaporudi nitaoga matope. Namuuliza kwanini, ananiambia kuwa maji HAKUNA.
Sitaki kuiongelea Mbeya yote kwa ujumla lakini kwa maeneo ambayo mimi ninaishi haya ya Iyunga, na Nzovwe, hali hii imekuwa kawaida.
Je, Tutaweza kupambana na kipindupindu Ilihali mvua zinanyesha?.
Ujinga wetu watanzania na wanambeya kwa ujumla ni huu wa kujisifia sijui mbunge wetu ni rais wa mabunge sijui ilihali jimbo lake linakosa maji na bado Mbeya inaitwa Jiji.
RUBBISH...
Hii imekaa vizuri mkuuMjibu mkeo nisipokuta maji utanijua vizuri utayakuta maji . Usiwe bwege
Mbeya Home Sweet Home ❤️❤️❤️Leo nikiwa zangu kazini katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, wife ananipigia simu kuwa nitakaporudi nitaoga matope. Namuuliza kwanini, ananiambia kuwa maji HAKUNA.
Sitaki kuiongelea Mbeya yote kwa ujumla lakini kwa maeneo ambayo mimi ninaishi haya ya Iyunga, na Nzovwe, hali hii imekuwa kawaida.
Je, Tutaweza kupambana na kipindupindu Ilihali mvua zinanyesha?.
Ujinga wetu watanzania na wanambeya kwa ujumla ni huu wa kujisifia sijui mbunge wetu ni rais wa mabunge sijui ilihali jimbo lake linakosa maji na bado Mbeya inaitwa Jiji.
RUBBISH...
Kile kisima pale Nzovwe uwanjani hakitoi maji?itende kuna maji, ukiteremka harengo chini mtoni kuna maji.Leo nikiwa zangu kazini katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, wife ananipigia simu kuwa nitakaporudi nitaoga matope. Namuuliza kwanini, ananiambia kuwa maji HAKUNA.
Sitaki kuiongelea Mbeya yote kwa ujumla lakini kwa maeneo ambayo mimi ninaishi haya ya Iyunga, na Nzovwe, hali hii imekuwa kawaida.
Je, Tutaweza kupambana na kipindupindu Ilihali mvua zinanyesha?.
Ujinga wetu watanzania na wanambeya kwa ujumla ni huu wa kujisifia sijui mbunge wetu ni rais wa mabunge sijui ilihali jimbo lake linakosa maji na bado Mbeya inaitwa Jiji.
RUBBISH...
Tuachen masihara kwenye vit serious bas..yaan from no where mke wake amwambie ivoo.kwel..mm mitaa anayokaa naikuaa nami naish hkow..ni kwel maji yanasumbua kitaa hki..tunaomba mamlaka zitusaidie.maana khali n mbayaKile kisima pale Nzovwe uwanjani hakitoi maji?itende kuna maji, ukiteremka harengo chini mtoni kuna maji.
Ukifa kwa kiu usimlaumu mtu, mkeo usikute anakwambia hamna maji uchelewe kurudi huku yeye anakanyagwa huko.
Mzee kama huna point ya kuchangia jitahidi kutafuta usingizi ulale.Kile kisima pale Nzovwe uwanjani hakitoi maji?itende kuna maji, ukiteremka harengo chini mtoni kuna maji.
Ukifa kwa kiu usimlaumu mtu, mkeo usikute anakwambia hamna maji uchelewe kurudi huku yeye anakanyagwa huko.
Sugu ametoka lini madarakani?Sugu miaka aliyokaa madarakani hakutatua hiyo shida, Tulia nae hana alilofanya?
.......
Muda aliokaa alitakiwa ametatua kero kama hiziSugu ametoka lini madarakani?
Hizo sehemu zote unazijua, unamlalamikia nani hapa?Mzee kama huna point ya kuchangia jitahidi kutafuta usingizi ulale.