Katizo la umeme mkoa wa Kilimanjaro

Katizo la umeme mkoa wa Kilimanjaro

Mtoto halali na hela

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
52,160
Reaction score
48,974
Habari za asubuhi wakuu, kwa wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro tujiandae leo kutakua na katizo la umeme tokea saa 3 asubuhi hadi saa 9 alasiri.

Lengo ni kufanya marekebisho kwenye line yenye msongo wa KV 400 kutokea Singida hadi Arusha.

Tahadhari usikanyage wala kushika waya uliodondoka chini, toa taarifa kwenye ofisi iliyopo karibu nawe.
 
Habari za asubuhi wakuu, kwa wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro tujiandae leo kutakua na katizo la umeme tokea saa 3 asubuhi hadi saa 9 alasiri.

Lengo ni kufanya marekebisho kwenye line yenye msongo wa KV 400 kutokea Singida hadi Arusha.

Tahadhari usikanyage wala kushika waya uliodondoka chini, toa taarifa kwenye ofisi iliyopo karibu nawe.
Na huku chuga mmekata mkurugenzi, tatizo nini?
 
Back
Top Bottom