Sorry jama umeme umekatika, kumalizia ni kwamba nilimchukua mamsup had majumbani kwetu, then after 5 daya tukapima tena na mimba bado ilikuwepo, tukatafuta sehem nyingine na ilifanikiwa kutoka. sasa baada ya pale ndipo yule dokta wa awali akawa anamtext mamsup kumtaka awe nae kimapenzh, sasa ninachojiuliza ile cku ya kwanza alifanya nn? Naombeni mawazo yenu wakubwa NIFANYEJE?
mi nafikiri theatre huwa ina manesi na assistant na doc kwenye kila procedure au inakuwaje huko kwenu
Mwambie akampe tena...Sorry jama umeme umekatika, kumalizia ni kwamba nilimchukua mamsup had majumbani kwetu, then after 5 daya tukapima tena na mimba bado ilikuwepo, tukatafuta sehem nyingine na ilifanikiwa kutoka. sasa baada ya pale ndipo yule dokta wa awali akawa anamtext mamsup kumtaka awe nae kimapenzh, sasa ninachojiuliza ile cku ya kwanza alifanya nn? Naombeni mawazo yenu wakubwa NIFANYEJE?
Sorry jama umeme umekatika, kumalizia ni kwamba nilimchukua mamsup had majumbani kwetu, then after 5 daya tukapima tena na mimba bado ilikuwepo, tukatafuta sehem nyingine na ilifanikiwa kutoka. sasa baada ya pale ndipo yule dokta wa awali akawa anamtext mamsup kumtaka awe nae kimapenzh, sasa ninachojiuliza ile cku ya kwanza alifanya nn? Naombeni mawazo yenu wakubwa NIFANYEJE?
Sorry jama umeme umekatika, kumalizia ni kwamba nilimchukua mamsup had majumbani kwetu, then after 5 daya tukapima tena na mimba bado ilikuwepo, tukatafuta sehem nyingine na ilifanikiwa kutoka. sasa baada ya pale ndipo yule dokta wa awali akawa anamtext mamsup kumtaka awe nae kimapenzh, sasa ninachojiuliza ile cku ya kwanza alifanya nn? Naombeni mawazo yenu wakubwa NIFANYEJE?
Preta utasababisha ugomvi kwenye familia za watu kumbe nikuta namba za simu za dokta nijue tayari kasha maliza kazi....sasa kama walifikia hatua ya kupeana namba za simu.....hushtuki tu....?
Wazazi wako wangekuchoropoa ungali tumboni ingekuwa jambo bora sana...! Muuwaji mkubwa wewe.Wakubwa heshima mbele,
Hivi karibuni mchumba wangu alipata ujauzito bahati mbaya baada ya kutokea interuption kwenye normal cycle yake, na kwa kuwa hatujajiandaa kulea kwa sasa ikabidi twende kwa mtaalamu ili ikiwezekana itolewe, tulimpata na akakubali baada ya kutuhoji na kujua nia yetu kufanya vile.
Tukaelewana gharama, siku, na muda, ndipo nikamsindikiza mamsup kwenda ku-abort niliambiwa nisubiri (waiting room) then baada ya saa 1 na nusu watarudi, na waliporudi mamsup alikua hoi,
1! Mtaalamu wa kutoa mimba!!! 2 enyi mshindwao kulea nileteeni mm vichanga niwasaidie na msivitoewakubwa heshima mbele, hivi karibuni mchumba wangu alipata ujauzito bahati mbaya baada ya kutokea interuption kwenye normal cycle yake, na kwa kuwa hatujajiandaa kulea kwa sasa ikabidi twende kwa mtaalamu ili ikiwezekana itolewe, tulimpata na akakubali baada ya kutuhoji na kujua nia yetu kufanya vile.tukaelewana gharama, siku, na muda, ndipo nikamsindikiza mamsup kwenda ku-abort niliambiwa nisubiri (waiting room) then baada ya saa 1 na nusu watarudi, na waliporudi mamsup alikua hoi,
mzoefu kasema!inahitaji dk 5 tu!hamna kitu kama hicho... kuchoropoa mimba ni ishu ya dk 5 tu.. haiitaji assistant yeyote
Mmetoa mimba.... imegoma mkatoa tena.....!Sorry jama umeme umekatika, kumalizia ni kwamba nilimchukua mamsup had majumbani kwetu, then after 5 daya tukapima tena na mimba bado ilikuwepo, tukatafuta sehem nyingine na ilifanikiwa kutoka. sasa baada ya pale ndipo yule dokta wa awali akawa anamtext mamsup kumtaka awe nae kimapenzh, sasa ninachojiuliza ile cku ya kwanza alifanya nn? Naombeni mawazo yenu wakubwa NIFANYEJE?
Wakubwa heshima mbele,
Hivi karibuni mchumba wangu alipata ujauzito bahati mbaya baada ya kutokea interuption kwenye normal cycle yake, na kwa kuwa hatujajiandaa kulea kwa sasa ikabidi twende kwa mtaalamu ili ikiwezekana itolewe, tulimpata na akakubali baada ya kutuhoji na kujua nia yetu kufanya vile.
Tukaelewana gharama, siku, na muda, ndipo nikamsindikiza mamsup kwenda ku-abort niliambiwa nisubiri (waiting room) then baada ya saa 1 na nusu watarudi, na waliporudi mamsup alikua hoi,