IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,578
- 7,774
Sorry jama umeme umekatika, kumalizia ni kwamba nilimchukua mamsup had majumbani kwetu, then after 5 daya tukapima tena na mimba bado ilikuwepo, tukatafuta sehem nyingine na ilifanikiwa kutoka. sasa baada ya pale ndipo yule dokta wa awali akawa anamtext mamsup kumtaka awe nae kimapenzh, sasa ninachojiuliza ile cku ya kwanza alifanya nn? Naombeni mawazo yenu wakubwa NIFANYEJE?
dawa ya moto ni moto,..mtafute mke wake nawe mtafune na uanze kumtext kama vip?...unaonaje hilo