Katoa mimba, dokta aliyemtoa anamtaka kimapenzi. je afanyeje?

Katoa mimba, dokta aliyemtoa anamtaka kimapenzi. je afanyeje?

Sorry jama umeme umekatika, kumalizia ni kwamba nilimchukua mamsup had majumbani kwetu, then after 5 daya tukapima tena na mimba bado ilikuwepo, tukatafuta sehem nyingine na ilifanikiwa kutoka. sasa baada ya pale ndipo yule dokta wa awali akawa anamtext mamsup kumtaka awe nae kimapenzh, sasa ninachojiuliza ile cku ya kwanza alifanya nn? Naombeni mawazo yenu wakubwa NIFANYEJE?

dawa ya moto ni moto,..mtafute mke wake nawe mtafune na uanze kumtext kama vip?...unaonaje hilo
 
kutoa mimba ni dhambi na mara nyingi watu wakienda kutoa mimba most of madokta wanawafanya madai wanalainisha njia ili vyuma viweze kupita...muulize vzr Dr alimfanya nini haiwezekani atoke amechoka mimba haijatolewa hahahhaha ni mtizamo tuu..jishauri na halmashauri yako ya kichwa je hiyo inaleta maana.
 
Hadithi itaendelea kesho,kalaleni watoto wazuri eh
 
mi nafikiri theatre huwa ina manesi na assistant na doc kwenye kila procedure au inakuwaje huko kwenu

Abortion ni criminal offence Tanzania. Ndio maana madaktari "wanatoka" kwa kuwalia hapo madada/wamama wengi....... Inafanyika kisiri, no nurses..... tena majumbani au ofc uchwara..........
 
Sorry jama umeme umekatika, kumalizia ni kwamba nilimchukua mamsup had majumbani kwetu, then after 5 daya tukapima tena na mimba bado ilikuwepo, tukatafuta sehem nyingine na ilifanikiwa kutoka. sasa baada ya pale ndipo yule dokta wa awali akawa anamtext mamsup kumtaka awe nae kimapenzh, sasa ninachojiuliza ile cku ya kwanza alifanya nn? Naombeni mawazo yenu wakubwa NIFANYEJE?
Mwambie akampe tena...
 
Sorry jama umeme umekatika, kumalizia ni kwamba nilimchukua mamsup had majumbani kwetu, then after 5 daya tukapima tena na mimba bado ilikuwepo, tukatafuta sehem nyingine na ilifanikiwa kutoka. sasa baada ya pale ndipo yule dokta wa awali akawa anamtext mamsup kumtaka awe nae kimapenzh, sasa ninachojiuliza ile cku ya kwanza alifanya nn? Naombeni mawazo yenu wakubwa NIFANYEJE?


Huu umeme umekua jalala, kila uchafu kutupiwa.... Kwanini huyo mpenzio ALIMPA namba ya simu? Au yeye ndo alimtafuta? Wanajuana? Umejuaje? Chunga sana mke/mpenzi anaekuambia fulani ananitaka.................
 
Sorry jama umeme umekatika, kumalizia ni kwamba nilimchukua mamsup had majumbani kwetu, then after 5 daya tukapima tena na mimba bado ilikuwepo, tukatafuta sehem nyingine na ilifanikiwa kutoka. sasa baada ya pale ndipo yule dokta wa awali akawa anamtext mamsup kumtaka awe nae kimapenzh, sasa ninachojiuliza ile cku ya kwanza alifanya nn? Naombeni mawazo yenu wakubwa NIFANYEJE?

sasa kama walifikia hatua ya kupeana namba za simu.....hushtuki tu....?
 
mhh kila siku maajabu mapya.....bongo tambarare aisee!
 
sasa kama walifikia hatua ya kupeana namba za simu.....hushtuki tu....?
Preta utasababisha ugomvi kwenye familia za watu kumbe nikuta namba za simu za dokta nijue tayari kasha maliza kazi....
 
kwnza mmetenda zambi kubwa sana, bro hapo umetereza lazima zambi zikuludie maana mmeua
 
Sina imani na alivyotoka akiwa hoi na mimba haikutoka.......ulijaribu kuchek k...yake baada ya kufika hom?
 
Preta cku nilipoenda onana na uyo dokta kwanza nilim~trust kwa kuwa nilijua amesoma na anafutata Ethics za kazi yake, hivyo kwa kua cm yangu ilikua imekwisha charge nikase namba yake kwenye cm ya mamsup then nikamflash ndipo alipoipatia namba yak.
 
story nyengine{labda iwe ya uongo}huoni aibu kuilete humu?kama suala la kutoa mimba,mmmh najua hayo mambo yapo,ila usingeyaleta humu
 
Wakubwa heshima mbele,

Hivi karibuni mchumba wangu alipata ujauzito bahati mbaya baada ya kutokea interuption kwenye normal cycle yake, na kwa kuwa hatujajiandaa kulea kwa sasa ikabidi twende kwa mtaalamu ili ikiwezekana itolewe, tulimpata na akakubali baada ya kutuhoji na kujua nia yetu kufanya vile.

Tukaelewana gharama, siku, na muda, ndipo nikamsindikiza mamsup kwenda ku-abort niliambiwa nisubiri (waiting room) then baada ya saa 1 na nusu watarudi, na waliporudi mamsup alikua hoi,
Wazazi wako wangekuchoropoa ungali tumboni ingekuwa jambo bora sana...! Muuwaji mkubwa wewe.
 
wakubwa heshima mbele, hivi karibuni mchumba wangu alipata ujauzito bahati mbaya baada ya kutokea interuption kwenye normal cycle yake, na kwa kuwa hatujajiandaa kulea kwa sasa ikabidi twende kwa mtaalamu ili ikiwezekana itolewe, tulimpata na akakubali baada ya kutuhoji na kujua nia yetu kufanya vile.tukaelewana gharama, siku, na muda, ndipo nikamsindikiza mamsup kwenda ku-abort niliambiwa nisubiri (waiting room) then baada ya saa 1 na nusu watarudi, na waliporudi mamsup alikua hoi,
1! Mtaalamu wa kutoa mimba!!! 2 enyi mshindwao kulea nileteeni mm vichanga niwasaidie na msivitoe
 
Sorry jama umeme umekatika, kumalizia ni kwamba nilimchukua mamsup had majumbani kwetu, then after 5 daya tukapima tena na mimba bado ilikuwepo, tukatafuta sehem nyingine na ilifanikiwa kutoka. sasa baada ya pale ndipo yule dokta wa awali akawa anamtext mamsup kumtaka awe nae kimapenzh, sasa ninachojiuliza ile cku ya kwanza alifanya nn? Naombeni mawazo yenu wakubwa NIFANYEJE?
Mmetoa mimba.... imegoma mkatoa tena.....!
kinachofuata ni kutafuta mtoto mpaka kwa waganga wa kienyeji...
Don't do this guyz!
anyway kama malipo hamkumaliza mlipe tu kwenu sio ishu
 
huenda alianza kumdu na abortion ikafuata badae. muulize mamsapu akueleze picha nzima
 
Wakubwa heshima mbele,

Hivi karibuni mchumba wangu alipata ujauzito bahati mbaya baada ya kutokea interuption kwenye normal cycle yake, na kwa kuwa hatujajiandaa kulea kwa sasa ikabidi twende kwa mtaalamu ili ikiwezekana itolewe, tulimpata na akakubali baada ya kutuhoji na kujua nia yetu kufanya vile.

Tukaelewana gharama, siku, na muda, ndipo nikamsindikiza mamsup kwenda ku-abort niliambiwa nisubiri (waiting room) then baada ya saa 1 na nusu watarudi, na waliporudi mamsup alikua hoi,

Wewe ni mtu wa ajabu sana ndugu yangu. Mchumba kupata mimba haiwezi kamwe kuwa bahati mbaya bali ni jambo la kujivunia. Kwa ufupi umeshiriki kuua mtoto wako - kama kweli ni wako. Inawezekana huyo Daktari alishajua kuwa wewe hauko serious na ndiyo maana anataka. Mimi nakushauri kuwa kwa kuwa umekiri mwenyewe kuwa hujajiandaa kulea basi mwachie huyo daktari labda yeye yuko tayari kutia mimba na kulea mtoto.
 
Back
Top Bottom