Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

Nakuzidi kuanzia elimu, uwezo wa kufikiri, pesa, n.k. The fact kwamba unapata vocha za kuokoteza haimaanishi you’re anybody.
Hii comment ndo ime dhihirisha kabsa we ni mweupe kichwani , you don't deserve kujibiwa na mimi
 
Mimba yako ina uthibitisho wa kisheria?
 
Kweli Matapeli wapo,mshikaji awe makini sana!!
 
UPDATES: Kwanza asanteni wote mliotoa mawazo yenu ya kujenga na kusaidia. Wale wapuuzi of course endeleeni kuwa wapuuzi. Baada ya negotiations za pande mbili na kwa ushauri wa wakali niliyemtafuta physically, nimeamua kutoipursue hii issue.
Yaani wwe kwa akili zako hata jambo hili lilikua la kupata wakili kweli!!??
 
Mkuu ina maana ulikuwa na mimba? Ilikuwaje ukapachikwa hadi akaitoa?
 
HAPO UNAISHI NA ISRAEL MTOA ROHO, SO AKILI KUMKICHWA.
 
Nani alikutoa hiyo mimba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…