Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Pole na wewe mimba imechoropokaPole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole na wewe mimba imechoropokaPole.
Una hakika gani kama alikuwa na mimba yako?Dada eeh. Samahani. Kama huna msaada ninaohitaji please hebu kaa kimya.
Hii comment ndo ime dhihirisha kabsa we ni mweupe kichwani , you don't deserve kujibiwa na mimiNakuzidi kuanzia elimu, uwezo wa kufikiri, pesa, n.k. The fact kwamba unapata vocha za kuokoteza haimaanishi you’re anybody.
Una hakika gani kama alikuwa na mimba yako?
Pole na wewe mimba imechoropoka
Hii comment ndo ime dhihirisha kabsa we ni mweupe kichwani , you don't deserve kujibiwa na mimi
Mimba yako ina uthibitisho wa kisheria?Kuna binti alikuwa na ujauzito wangu. Alitarajiwa kujifungua December hii (makadirio yalikuwa tar. 7).
Nimeona muda unazidi kwenda kimya nikauliza akaniambia mimba ilitoka mwezi wa 9. Sina uhakika ilitoka kweli au alitoa.
Nafikiri kwenda mahakamani kuiomba mahakama iombe taarifa kutoka hosp iliyomhudumia (amesema alikwenda hosp ya serikali) ili nijiridhishe kutoka kwa wataalamu waliomuhudumia kama kweli mimba ilitoka au alifanya abortion. Ikiwa alifanya abortion nakusudia kumshitaki.
Naomba msaada wa mawazo yenu nijue namna ya kushughulika na hili swala.
Kweli Matapeli wapo,mshikaji awe makini sana!!H
HApo sheria inakubana mkuu
1. Endapo utaenda fungua kesi lazima mahakama ikuombe legal bond na mhusika kwa maana ya lazma unayemshitaki kwa kesi ya aina yako lazma awe mke wako kihalali kwa ushahidi wa cheti cha ndoa na mashahidi endapo mahakama itaamua hivyo
2. Lazima uiridhishie mahakama kuwa kipindi hicho chote ulikuwa karibu na mama mjamzito kihuduma kwa mama na kichanga hapa bills za hospital lazma zihusike mzee.
ukiweza thibitisha hayo na kama ulikuwa unahudumia mimba mwisho wa siku yakafanyika yaliyofanyika unaweza kutengeneza kesi ya madai na hii ni endapo kama miamala yote ulokuwa unamtumia ulikuwa unatuma kwa bank au mitandao ya siku.
Otherwise kama dada ni mjanja anaweza kwenda hosptal akayengeneza report kuwa mimba iliharibika kesi ikaishia hvyo
Yaani wwe kwa akili zako hata jambo hili lilikua la kupata wakili kweli!!??UPDATES: Kwanza asanteni wote mliotoa mawazo yenu ya kujenga na kusaidia. Wale wapuuzi of course endeleeni kuwa wapuuzi. Baada ya negotiations za pande mbili na kwa ushauri wa wakali niliyemtafuta physically, nimeamua kutoipursue hii issue.
Error 🙆♀️Now nimekumbuka
Anza upya kule. Mistake doneUna uhakika mimba ilikuwa yako?
😀😀😂😂🤣 Ila watu
Mkuu ina maana ulikuwa na mimba? Ilikuwaje ukapachikwa hadi akaitoa?Kuna binti alikuwa na ujauzito wangu. Alitarajiwa kujifungua December hii (makadirio yalikuwa tar. 7).
Nimeona muda unazidi kwenda kimya nikauliza akaniambia mimba ilitoka mwezi wa 9. Sina uhakika ilitoka kweli au alitoa.
Nafikiri kwenda mahakamani kuiomba mahakama iombe taarifa kutoka hosp iliyomhudumia (amesema alikwenda hosp ya serikali) ili nijiridhishe kutoka kwa wataalamu waliomuhudumia kama kweli mimba ilitoka au alifanya abortion. Ikiwa alifanya abortion nakusudia kumshitaki.
Naomba msaada wa mawazo yenu nijue namna ya kushughulika na hili swala.
HAPO UNAISHI NA ISRAEL MTOA ROHO, SO AKILI KUMKICHWA.Kuna binti alikuwa na ujauzito wangu. Alitarajiwa kujifungua December hii (makadirio yalikuwa tar. 7).
Nimeona muda unazidi kwenda kimya nikauliza akaniambia mimba ilitoka mwezi wa 9. Sina uhakika ilitoka kweli au alitoa.
Nafikiri kwenda mahakamani kuiomba mahakama iombe taarifa kutoka hosp iliyomhudumia (amesema alikwenda hosp ya serikali) ili nijiridhishe kutoka kwa wataalamu waliomuhudumia kama kweli mimba ilitoka au alifanya abortion. Ikiwa alifanya abortion nakusudia kumshitaki.
Naomba msaada wa mawazo yenu nijue namna ya kushughulika na hili swala.
Nani alikutoa hiyo mimba?Kuna binti alikuwa na ujauzito wangu. Alitarajiwa kujifungua December hii (makadirio yalikuwa tar. 7).
Nimeona muda unazidi kwenda kimya nikauliza akaniambia mimba ilitoka mwezi wa 9. Sina uhakika ilitoka kweli au alitoa.
Nafikiri kwenda mahakamani kuiomba mahakama iombe taarifa kutoka hosp iliyomhudumia (amesema alikwenda hosp ya serikali) ili nijiridhishe kutoka kwa wataalamu waliomuhudumia kama kweli mimba ilitoka au alifanya abortion. Ikiwa alifanya abortion nakusudia kumshitaki.
Naomba msaada wa mawazo yenu nijue namna ya kushughulika na hili swala.