nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
kwanini unahisi kwamba hatukua na hoja wakati huo, ila wewe una hoja sasa?Mhoji kitu gani? Kwanza hakuna aliyezuia watu kuhoji. Na hamkuhoji kwa sababu hamkua na hoja.
Sasa basi leteni hoja zenu
hakuna chechote mkuu, mimi niko hapa.Mimi nashangaa Sana[emoji23][emoji23]
Moshi ni mji mdogo Mno na umepoa sana
umegusia wasanii,utakuwa chege chigunda wewe mzee wa shoo za maporiniKatoro bonge la mji halafu uzezeta wangu wote sikujua kama ni kijiji, Hakuna msanii Tanzania ambae akipewa show katoro akatae hayupo
Hoja ninazo. Utalii utalii utalii basi.kwanini unahisi kwamba hatukua na hoja wakati huo, ila wewe una hoja sasa?
Ila watu wa huko ni wabinafsi kupitiliza. Haijawahi kutokea Wilaya inapigiwa chapuo iwe Mkoa, kijiji kiwe mji, jimbo lijengewe airport, mbuga, mabenki, chuo, jengo la TRA, na bado kuomba Mkoa jirani uwachangie eneo daaah!
Halafu nikiwaza huyo mungu wenu alivyozima mchakato wa Moshi kuwa jijieti kisa watu wa huko ni wapinzani, ndiyo ninachoka
hata katoro hoja zipo, madini madini madini basi.Hoja ninazo. Utalii utalii utalii basi.
Kama hakuna chochote, umefata nini huko?😂hakuna chechote mkuu, mimi niko hapa.
nimekuja kuoa.Kama hakuna chochote, umefata nini huko?😂
hoja zenu hua zinachekesha sana.Marehemu kajenga ndani ya hiki kijiji soko kubwa lenye hadhi ya soko la wilaya/mkoa. Pia kuna maduka makubwa mawili ya uuzaji wa dhahabu. Niafikiri kwa sifa hizi inafaa iwe angalau halmashauri ya mji ila watatue kwanza ubinafsi wao. Wakubali Katoro iwe mji mmoja na utangukie either Geita ama chato tofauti na sasa ambapo wamegawana katikakati [emoji23]
Kimsingi kuwa na Soko na maduka hiyo ni hadhi ya kijiji. Yaani kuwa mji maana yake Kuu ni kwamba wakazi wake wanategemea biashara kama chanzo kikuu cha kipato na mapato ya Serikali hapo yawe yanategemea biasharaMarehemu kajenga ndani ya hiki kijiji soko kubwa lenye hadhi ya soko la wilaya/mkoa. Pia kuna maduka makubwa mawili ya uuzaji wa dhahabu. Niafikiri kwa sifa hizi inafaa iwe angalau halmashauri ya mji ila watatue kwanza ubinafsi wao. Wakubali Katoro iwe mji mmoja na utangukie either Geita ama chato tofauti na sasa ambapo wamegawana katikakati [emoji23]
Sasaje, futa kauli yako kwamba Moshi hamna chochote wakati umepata mke hukonimekuja kuoa.
tulikua tunazungumzia mambo ya kiuchumi na sio ya kijamii.Sasaje, futa kauli yako kwamba Moshi hamna chochote wakati umepata mke huko
Wakitoka hapo watataka Katoro iwe mkoa. Kama mwendazake alivyofanya. Same pattern...Wanataka kijiji cha katoro kiwe mji
KATORO, Geita. Kijiji pekee nchini kwasasa chenye hadhi ya kuitwa MJI lakini bado kinatambulika kama Kijiji sawa sawa na kijiji cha KASATO kule Biharamulo, ama Kiuyu Mbuyuni kule Micheweni, Pemba Zanzibar.
UKipata fursa ya kufika KATORO. Hapa kuna
BENKI karibu zote uzijuazo
MAJI ya kutosha
UMEME wa uhakika
MIUNDOMBINU ya Barabara bora hadi mitaani kuzidi hata meneo mengi yenye hadhi ya mji.
KATORO Ndilo lango la wafanyabiashara wa Nguo, urembo n.k (MACHINGA), pikipiki na bidhaa mbapimbali kutoka mikoa ya Kagera, Mwanza,Shinyanga, Simiyu, Dodoma, Tabora, Kigoma, Singida, hadi nchini UGANDA.
Cha kuvutia zaidi ni kwamba KATORO ni miongoni mwa maeneo salama, na yenye maisha rafiki kabisa kwa kila mtanzania kumudu kuishi kulingana na uwezo wa kipato chake. Hapa bidhaa ni bei ya kawaida sana ukilinganisha na maeneo mengine (kama wewe ni mtembeaji)
Licha ya ukubwa wa eneo hili kibiashara na kimaendeleo lakini bado #KATORO kiserikali inatambulika kwa hadhi ya KIJIJI ikiongozwa chini ya serikali ya KIJIJI na KATA.
Mpango wa kuzaliwa kwa mkoa mpya wa CHATO huenda ukaja kuzaa mabadiliko ya hadhi ya eneo hili la Katoro na kupata fursa ya kupanda hadhi kwani hapa ni moja ya maeneo ambayo bado mamlaka hazijayatendea haki kabisa na yana kila sababu ya kuitwa mji kutokana na kasi ya maendeleo iliyopo.
Kama hili la kuundwa kwa mkoa mpya wa #Chato litafanikiwa, sehemu ya kwanza na hazina kimkakati ni eneo hili kwani hapa ndipo pesa zinatengenezwa. Linahitaji kuangaliwa na kupewa hadhi yake.
Wasalaam
#GMdadisi
Sahihi kabisa. Hiili pia bado ni tatizo, wilaya mbili ndani ya mji mmoja.Ni mji pekee pia ndani yake kuna miji miwili ndani ya wilaya mbili tofauti. Ndani Katoro, kuna Katoro ambayo iko wilaya Geita na vilevile ndani ya Katoro kuna buseresere ambayo iko wilaya ya Chato. Waanze kwanza kutatua hili, hakuna haja ya kuwa na miji miwili tofauti ndani ya mji mmoja.
Katoro panakuzwa tu,bado ni kijijini tu.Kwa wenzangu wazawa wa Dar,katoro kibiashara na kiuwekezaji ni robo ya Manzese,na huo ndio ukweli,barabara ya lami ni moja tu,maji,umeme wa uhakika ni stori za kusadikika,uhakika huo kwenye huduma hizo haupo.katoro hakuna huduma ya maji, katoro nzima na buseresere zinategemea chemchem za maji ya kabaherere kama chanzo kikuu.
na kuhusu barabara za mitaa ni bado n changamoto kubwa hasa kwa upande wa katoro ila upande buseresere Diwan wao (Gody) kafanya kweli kwenye barabara za mitaa.
yote katika yote Katoro ni kijiji kinachofunika Geita mjini.