Katoto kangu kanaumwa ugonjwa wa ngozi jamani

M2mwembamba

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2014
Posts
2,491
Reaction score
1,095
Habari wana JF
Kama nilivyoanza mwanangu anaumwa ugonjwa wa ngozi ni mwezi sasa.
Mwanzoni alianza kwa kujikuna kadri siku zilivyozidi kusonga ngozi ilikuwa inabadirika kutokana na kujikuna nikampeleka hospital nikaandikiwa dawa sindano nne hakupata nafuu,nikarudi nikapewa vidonge na nyingine ya kupaka lakini naona hakuna nafuu yoyote.
Huku nilipo inyonga katavi hata dokta wa ngozi sioni kama yupo.
Msaada plz!
Na hizo dawa kwenye cheti ndizo alizotumia
 
Mkuu pole, mpe pole mjomba pia. Wataalamu watafika
 
Jaribu kumpima usiogope hata kama wazazi wake wote wapo Salama
 
Pole sana ndg...hata mm mtoto wangu ana vipele sawa kabisa na hivyo amekunywa dawa mbalimbali za hosptl haponi,ila kuna tube tulipewa inaitwa Safi cream ndio inamsalidia kwa sasa.Tatizo la hii tube ni kwamba ukimpaka vipele vinaisha,usipompaka baada ya siku mbili vinarudi sasa imebidi tuifanye kama ndio mafuta yake na tunampaka usiku tu.ingawa sipendi matumizi ya cream kwa muda mrefu lkn sina jinsi.nami nasubiri tiba ya kumponya kbs hapa.
 
Kama uko karibu na hsp kubwa jaribu kumpeleka kwa dokta wa ngozi
Tatizo langu mie kwenda hosp kubwa hadi nijiandae make ni mbali siwezi kwenda na kurudi
 
Hiyo ni eczema au inaitwa pumu ya ngozi ,nenda hospital wakuandikie dawa za kupaka
 
Ndugu Yangu Namuonea Huruma Mtoto,mimi Mtu Mzima Nliyopitia Ugonjwa Wa Ngozi Mpaka Nalia,ila Nkuambie Ni Moja Kati Ya Magonjwa Ambao Yanachukua Mda Mrefu Sana Kupona,yaani Unakomaa Haswa Mimi Toka November Nahangaika,dawa Kila Leo Nakunywa,napaka Tube
 
Jaribu kwenda kwenye hospital kubwa nakushauri jaribu kwenda Bugando pale unaweza pata daktari nzuri,kuna bro alikua na matatizo kwenye ngozi full maupele yenye usaha hospital zingine alienda anaambiwa hakuna tatizo wakati hali yake ni mbaya akaamua kwenda bugando na kuhudhuria clinic kwa miezi kadhaa now yuko poa sana
 
Dawa Unazoandikiwa Usiache Tumia,maana Akipata Nafuu Ukiacha Tu Lazima Vitibuke,ndo Nayokutana Nayo Mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…