katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Mimi ninamajukumu yamenibana.
Baadhi yenu mmenimisi mpaka na uzi umetolewa kuhusu nimeenda wapi.
1. Masaa yakuandika upupu siku hizi hakuna hapa tu nimepata kaupenyo.
2.humu wamezidi utoto hata ukiwa unatania au unajifurahisha maneno ya kipuuzi na yakuumiza unapewa wewe.
3.mtu anastress zake humu ni upupu na sumu anatoa chafu kwangu.
4.Humu hata ufanyaje unapewa maneno ya madharau dharau hadi na choka eti.
5.Watu wamekuwa wanataka ukwazike ukose amani kisa huu mtandao jueni niliingia mwenyewe na nimetoka mwenyewe siku hizi mimi ni msomaji nakulike tu .
Au ikibidi na comment kidogo.
Basii.
Katoto amemaliza nawatakia usomaji mzuri na kupost kwema kwenyw majukwa mbali mbali .
Nawatakia siku njema.
Nawashukuru kwa aliyenikumbuka .
Baadhi yenu mmenimisi mpaka na uzi umetolewa kuhusu nimeenda wapi.
1. Masaa yakuandika upupu siku hizi hakuna hapa tu nimepata kaupenyo.
2.humu wamezidi utoto hata ukiwa unatania au unajifurahisha maneno ya kipuuzi na yakuumiza unapewa wewe.
3.mtu anastress zake humu ni upupu na sumu anatoa chafu kwangu.
4.Humu hata ufanyaje unapewa maneno ya madharau dharau hadi na choka eti.
5.Watu wamekuwa wanataka ukwazike ukose amani kisa huu mtandao jueni niliingia mwenyewe na nimetoka mwenyewe siku hizi mimi ni msomaji nakulike tu .
Au ikibidi na comment kidogo.
Basii.
Katoto amemaliza nawatakia usomaji mzuri na kupost kwema kwenyw majukwa mbali mbali .
Nawatakia siku njema.
Nawashukuru kwa aliyenikumbuka .