Zanzibar iko ndani ya Tanzania. Tanzania inatokana na muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hope umeelewaHawajakopa tz, wamekopa zanzibar[emoji23]
Zanzibar inamikoa mingi kama ilivyo Tanganyika i think wanamikoa zaidi ya 6Zanzibar ni moja ya mikoa ya tanzania
Ndio maana nje ya muungano hakuna kitu kinaitwa Zanzibar ila kuna visiwa vya unguja na pemba.Zanzibar ni moja ya mikoa ya tanzania
Wamekopa banaππππXYZ kitu cha kishua! Wewe Lisa, hivi unajua huu ni utani tu? Ama ndo unadhani hao ni Ruto na Uhunye wa kweli? π
Zanzibar inamikoa mingi kama ilivyo Tanganyika i think wanamikoa zaidi ya 6[/QUOT
sizani
Hahaha, π sawa. Ila usidhubutu kutafta episode za XYZ ambazo zinawatania watz. Hao jamaa bana, sijui huwa wanavuta bange ya wapi.Wamekopa banaππππ
Ile ni MitaaZanzibar inamikoa mingi kama ilivyo Tanganyika i think wanamikoa zaidi ya 6
Ya TZ kuhusu Magufuli?Hahaha, π sawa. Ila usidhubutu kutafta episode za XYZ ambazo zinawatania watz. Hao jamaa bana, sijui huwa wanavuta bange ya wapi.
Offcourse! Unategemea wakitania Tz ndo watajizuia, eti wamuache citizen No. 1 akiwa salama? JPM ni star kwenye show ya XYZ! πYa TZ kuhusu Magufuli?
..mkuu hakna kitu kama hicho..Zanzibar ipo na tukisema Zanzibar tuna maanisha kisiwa cha Pemba na unguja...Ndio maana nje ya muungano hakuna kitu kinaitwa Zanzibar ila kuna visiwa vya unguja na pemba.
Mkuu.kuna mitaa ipo .na mikoa ipo..kuna mkoa wa kusini pemba .mkoa wa kaskazini pemba..kuna mkoa wa kusini unguja.mkoa wa kasikazini unguja .mkoa wa magharibi unguja ...Ile ni Mitaa
Haya mkuu tusubiri...mkuu hakna kitu kama hicho..Zanzibar ipo na tukisema Zanzibar tuna maanisha kisiwa cha Pemba na unguja...
Endeleza chuki zako.. hivi inawauma sana nyinyi. baba yenu Nyerere amekufa ameshindwa kufanya hivyo.Zanzbar itaendelea kuwepo kwani hilo jina lipo miaka zaiai ya 1000 hata wakoli hawajaja kukukatieni mipaka na kusema hii itakuwa east Africa Germany kabla ya muingereza kukubatizeni Tanganyika. kwa hivyo Zanzibar itaendelea kuwepo na kuwasokotaZanzibar ni moja ya mikoa ya tanzania