Katuni: Kenya ya kopa pesa Zanzibar( Tanzania )

Katuni: Kenya ya kopa pesa Zanzibar( Tanzania )

XYZ kitu cha kishua! Wewe Lisa, hivi unajua huu ni utani tu? Ama ndo unadhani hao ni Ruto na Uhunye wa kweli? 😀
 
Zanzibar ni moja ya mikoa ya tanzania
Endeleza chuki zako.. hivi inawauma sana nyinyi. baba yenu Nyerere amekufa ameshindwa kufanya hivyo.Zanzbar itaendelea kuwepo kwani hilo jina lipo miaka zaiai ya 1000 hata wakoli hawajaja kukukatieni mipaka na kusema hii itakuwa east Africa Germany kabla ya muingereza kukubatizeni Tanganyika. kwa hivyo Zanzibar itaendelea kuwepo na kuwasokota
 
Back
Top Bottom