Katuni niliyoipenda

Katuni niliyoipenda

..........Hii inafaa kuitwa KATUNI YA MWAKA 2008.....category ya siasa......kwi kwi kwi kwi........nimecheka sana leo hasa yule jamaa anasema "ukikosa hapa kila mtu atakushangaa".............
 
Katuni zimebeba ujumbe mzito sana....wa maana kisha....
 
Mwenzenu mimi katuni iliyonivunja mbavu ni hii hapa. Hasa pale ambapo Ramba Ramba alipopigwa kanzu halafu na yule golikipa asiyeongea.
Kichuguu kweli unabeba mchwa si mchezo maana ujumbe wa hii ni mkali
 
Quote:
Originally Posted by John Mnyika
Viko vyanzo vingi vya katuni za kisiasa zenye kuibua mjadala. Tuziletapo JF thread hii yaweza kuwa pahala husika.

Leteni nyingi zaidi toka vyanzo mbalimbali ili tucheke huku tukipata ama kutoa ujumbe.

JJ

shule ushamaliza?
Swali gani hilo wakati wewe mwenyewe umezamia nje hutaki kurudi?
Haya hayakuhusu. Wewe ulikwenda kusoma? mbona umeshindwa kurudi toka ughaibuni?
 
Maoni yako ni sahihi kabisa, wapinzani wana safari ndefu ( strategically ) kabla ya kuiong'oa CCM.

Binafsi naamini wapinzani wa kweli watatoka ndani ya CCM yenyewe
Kamwe ccm hatatoka mpinzani wa kweli bali watatoka puppets na kujifanya ni wapinzani. Naweza kukubali tu kama utasema mpinzani wa kweli hajazaliwa katika siasa zetu. Lakini kwa unabii nilionao hayuko mbali kuzaliwa. Stay tuned.
 
cart0812.jpg
 
Laa!! hiyo nchi itakayoongozwa watu waliosoma "AAM UNIVERSITY" itakuwa na taabu sana; nadhani watu hawatakichanganya chuo hicho na UNIVERSITY of Dar es SalAAM.
 
Adhabu ya viboko

4068d1238403223-katuni-niliyoipenda-kp0365-1-.jpg
 

Attachments

  • kp0365[1].JPG
    kp0365[1].JPG
    34.5 KB · Views: 68
Back
Top Bottom