Katuni ya Gado kuhusu Mkataba wa DP World

Kwani ikibidi....kikombe kimuepuke Mungu ataamua huu ugomvi amen
 
Gado kapatia sana kwenye maudhui..ila dah..ni kama Samia anaelekea kuwa Magufuli 2.0
View attachment 2692881
afu mtu wa Mbeya anayeishi Nairobi, jiulize angekuwa Mbeya ingekuwaje.....wakenya wapoje sijui Gado, Mtanzania anaishi Nairobi tena mtaa wa Ikulu lakini hawajawahi kumkamata kwa kuwalipua maraisi tangu Moi , Kibaki, Uhuru mpaka Ruto leo-uhuru wetu bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…